Ukitaka kujua ukweli wa imani unayoamini kila siku...jivue kwa mda utayaona mapungufu

Ukitaka kujua ukweli wa imani unayoamini kila siku...jivue kwa mda utayaona mapungufu

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha.
Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni genius vp@ ukihoji utaishia kukufuru tu.
Wachache km Kiranga wamethubutu sijajua amepata wapi ujasiri...
Tafakari chukua hatua....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom