IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Namanisha wengi wetu tuko na imani tulizonazo @ ni kwa sababu tumezaliwa tukakuta wazazi wanaamini na wakatuaminisha.
Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni genius vp@ ukihoji utaishia kukufuru tu.
Wachache km Kiranga wamethubutu sijajua amepata wapi ujasiri...
Tafakari chukua hatua....
Sent using Jamii Forums mobile app
Imani hizi zimefunga watu wengi kiasi kwamba ni ngumu kuona mbele hata km ni genius vp@ ukihoji utaishia kukufuru tu.
Wachache km Kiranga wamethubutu sijajua amepata wapi ujasiri...
Tafakari chukua hatua....
Sent using Jamii Forums mobile app