Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo

sasa bishanga mwongozo wote huu unao then bado unachunwa, ww hauchunwi bali unatoa mwenyewe kwa raha na malavidavi yako loz!
 
mimi ni only son nina dada watatu na nipo nao karibu hakuna mfano hapa hatafanyaje sasa nakusikilza bishanga
Ajipendekeze kwa hao dada, tena kama uko nao karibu ni rahisi sana watakufichia siri.
 
mhh Dunia inazidi kuharibika tuu, kumbe nyumba ndogo sio bahati mbaya tena ni lazima??? Ukimwi jamaniiiiii????
 
tena ficha kabisa Aspirin na Kloro wasizione,lol!
Chonde chonde....

Mi niko busy nafuikuzia hiki kifaa cha magogoni.... nikikamata hiki najua ntaambulia japo ukuu wa mkoa. Hapo sasa ndo ntaweza kuchunwa na kina Sweetlady.....


S0298 FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 23 DIV-II = 7 DIV-III = 5 DIV-IV = 1 FLD = 0


[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]S0298/0025[/TD]
[TD]F[/TD]
[TD]MWANAASHA JAKAYA KIKWETE[/TD]
[TD]27[/TD]
[TD]IV[/TD]
[TD]CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-C LIT ENG-D BIO-C B/MATH-F COMM-F[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
Asante Bishanga.....USHNIOKOA.......... Sasa nitajuwa kujikinga kuchunwa. Looooo. Kumbe nilikuwa naanza kuwekwa kwenye Target huku sijijui. Si ajabu akawa ni mwanafunzi wako.
 
Hehe eti asiombe vocha!! sasa kama binti mwenyewe wa college ataomba gari??
 
Big Up Byshernger,
Naomba nichukue notisi
nikaelimishe darasa langu.

Umesahau moja, Usimtie makofi buzi, atakasirika siku 2.
 
mimi ni only son nina dada watatu na nipo nao karibu hakuna mfano hapa hatafanyaje sasa nakusikilza bishanga
Mkuu,naongelea uzoefu wangu binafsi,mawifi kwa kweli mmmmhhhh,kwani kampango kako huwezi kukawekea distance na dada zako wasizoeane sana bana?
 
makubwa!
 
Asante Bishanga.....USHNIOKOA.......... Sasa nitajuwa kujikinga kuchunwa. Looooo. Kumbe nilikuwa naanza kuwekwa kwenye Target huku sijijui. Si ajabu akawa ni mwanafunzi wako.
.....ukizaliwa mwanaume ujue ni mateso.....yakiwemo ya kuchunwa....
(source😱ttu jazz)
 
Hii shule in IV moja tu..kwa hiyo ni huyu dogo tu aliyepata four.. Atakuwa kiazi kweli kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…