Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo

Hehe eti asiombe vocha!! sasa kama binti mwenyewe wa college ataomba gari??
wa college tena? sasa sisi wengine ung'enge mbona haupandii tutawezana na hao vipi?
anyway cha msingi ujue mwanamke akikuomba vocha basi na mwanaume anamchukulia level hiyo,lakini ukikuta mwanamke ana kwake,nje kapaki rav4,sebuleni flat screen mwanaume unadhani utamhonga vocha huyo au yeye atakuomba vocha?
 
Big Up Byshernger,
Naomba nichukue notisi
nikaelimishe darasa langu.

Umesahau moja, Usimtie makofi buzi, atakasirika siku 2.
arrrrrrooooo we kweli mimba inakusumbua.
Lizzy hajambo?
 
Naomba usije kuiapply kwangu maana hata kibanda changu kule Salasala nitashindwa kukimalizia...
acha woga kamanda,sufuria haiogopi moto,Daughter we mwingie tu mkielewana mambo ya kumalizia kibanda salasala baadae,mtoto afurahi kwanza.
 
we ni noma, au majina yamefanana tu ? duh kajitahidi na hiyo IV mana hapo cheti anapata kuliko angetaga yai
 
Kwani mabuzi siku hizi mnaomba vyeti??
Nina access na mabuzi yenye pesa
Tena yule mwigizaji wa marekani
Ntamchuna mpaka basi, na hivi nshachezwa

ndo mana umefeli fom4,si unaona matokeo yako hapo juu?
 
Kaaaazi kweli kweli!!!
Kila la kheri wachunaji na wachunwaji.
 
mmh?hali ilivobana kwa sasa bidada anaweza akajituma weee lakini ikifika kwenye kipengele cha ruzuku wazee kama sisi wazoefu huwa tunakula kona shaaaaaa,,,enzi za hapendwi mtu linapendwa pochi ilishapitaga kwa sasa hakunaga kivileee
 

Ta Bishanga MMMMHHHHH kweli wee mkali..Sasa madada wa JF somo tayari tunawatakia mwaka mwema wa mafanikio kutoka mlipo mpaka kuhamia Bunju au Masaki.
 

Hata ziro (0) nayo ni maksi
 
Asante sana kwa huo mwongozo, ngoja nianze kuchukua tizi kufuatana na muongozo huo. :lol:
 
MWANAUME hachunwi,source Aspirin!
 
Aspirin chonde chonde, usije ukasababisha JF ikafungiwa kabisaa
 
Duh!yamekuwa haya!mie napita tu!haya mambo siyawezi
 
Kwani mabuzi siku hizi mnaomba vyeti??
Nina access na mabuzi yenye pesa
Tena yule mwigizaji wa marekani
Ntamchuna mpaka basi, na hivi nshachezwa
usisahau kunibakishia kamkia.
 
Kaaaazi kweli kweli!!!
Kila la kheri wachunaji na wachunwaji.
wachunaji wana nini bana?tunao faidi ni sisi wachunwaji maana hanjam mpaka unasahu barabara ya kurudi nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…