Ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia!

Sasa kama anafanya kama Bata nisimwambie.... Mweh! Mie nataka kufikishwa kileleni , halafu analeta mapozi................usharobaro wake huko huko..........LOL


Nimecheka sina mbavu!
Wanawake wa siku hizi Full kujua lol
 
Ngoja nimwambie my wife leo anikosoe nione inakuaje .......
 
FAIZA bwana! Politics had kwenye mapenzi? I mean MMU?
 
hata mwanamke ni hivyohivyo... we mwambie una nanihii kama nanihii au nanihii uone depression

this is universal
 
Kwani Wanaume tumekuwa Miungu mpaka tujione kama hatustahili kukosolewa pale tunapokosea? Mbona wengi tu hukubali makosa yao wanapokosolewa na wengine hata kuomba samahani kwa wale waliowakosea kama ni GF, Mke etc...Wanaume ni binadamu hivyo hatuko perfect na tuna mapungufu mengi tu ikiwemo hilo la kufanya makosa mbali mbali.
 
Napita nisije kukukosoa bure kwani hujaangalia in dp pande zote
 
Asume mpo katikati ya malavidavi halafu my waifu wako anakuambia mbona una kananihii kadogo. Hivi utajisikiaje?
 
Asume mpo katikati ya malavidavi halafu my waifu wako anakuambia mbona una kananihii kadogo. Hivi utajisikiaje?

Hapo sasa Rejao...............Una akili wewe........ndio maana nakupenda,tena bure bila hata seti tano...........LOL
 

Bahati hiyo wanayo wale wenye kufikiri nje ya Box.......................... yaani kw jicho la tatu..........
 
Mmmmh! Kwahiyo wanaume hampendi kukosolewa?
Siyo wanaume tu, hakuna anayependa kukosolewa
We mwambie mwanamke tu unanuka kikwapa, mdomo unanuka
n.k uone kama atafurahi.... au mwambie huko ikulu...... Nashindwa
kumalizia watoto hawajalala.
 
Asume mpo katikati ya malavidavi halafu my waifu wako anakuambia mbona una kananihii kadogo. Hivi utajisikiaje?
Mwambie tu mbona kwa fulani ilikuwa inatosha ni kwako tu ndo
inakuwa hivi lakini nimepita sehemu 100 sijakutana na bahari pana
kama hii unaogelea mpaka unataka kumezwa na maji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…