ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wakuu nimemchunguza Kobe kwa muda mrefu nikaja na hitimisho kuwa viumbe vyote ambavyo vinafanya mambo yake taratibu/polepole Basi vina uwezekano mkubwa wa kuishi maisha marefu tofauti na viumbe ambavyo viko speed speed katika Mambo yake.kwa mfano kuku,nzi,mbu na mijusi wako fasta fasta ndo maana wanakufa mapema.kobe yeye anajivuta vuta Sana na wanyama wengine ambao wanajivuta vuta wakitembea, wanakula taratibu, Wana sex taratibu nimegundua life span yao Ni kubwa
Kwa hiyo hata kwa sisi binadamu ukitaka kuishi maisha marefu basi kuwa mpole.usiwe rough rough ukataka kutumia kila kitu vingine ambavyo sio vya lazima viache,safari ambazo sio za lazima achana nazo,starehe ambazo Ni za kipumbavu zikatae achana nazo,sehemu zisizo na ulazima usikae.maana jinsi unavyojitumia wewe ndivyo unavyojila mwenyewe.Kumbuka E=MC SQUARE manaake speed ya Mambo yako ikiwa kubwa na jinsi mda unavyoenda binadamu unaji destruct mwenyewe.usiwe mtu wa kula kula ovyo kila kitu.fanya mambo taratibu concentrate kila Jambo vuta pumzi vizuri na uisikilizie.jiepushe na karama au sherehe zenye shangwe kupitiliza
Lakini kumbuka usiwe polepole siku nzima lazima upate muda pia wa kufanya mazoezi angalau dakika 45 kwa siku inatosha.masaa mengine yanayobaki ishi Kama Kobe yaani ikibidi hata ukiwa unatembea tembea na fimbo Kama mzee wa miaka tisini jivute vute ukifanya hivyo nakuhakikishia utaishi miaka mingi na utaona mengi.hiyo Ni Imani yangu wakuu
Kwa hiyo hata kwa sisi binadamu ukitaka kuishi maisha marefu basi kuwa mpole.usiwe rough rough ukataka kutumia kila kitu vingine ambavyo sio vya lazima viache,safari ambazo sio za lazima achana nazo,starehe ambazo Ni za kipumbavu zikatae achana nazo,sehemu zisizo na ulazima usikae.maana jinsi unavyojitumia wewe ndivyo unavyojila mwenyewe.Kumbuka E=MC SQUARE manaake speed ya Mambo yako ikiwa kubwa na jinsi mda unavyoenda binadamu unaji destruct mwenyewe.usiwe mtu wa kula kula ovyo kila kitu.fanya mambo taratibu concentrate kila Jambo vuta pumzi vizuri na uisikilizie.jiepushe na karama au sherehe zenye shangwe kupitiliza
Lakini kumbuka usiwe polepole siku nzima lazima upate muda pia wa kufanya mazoezi angalau dakika 45 kwa siku inatosha.masaa mengine yanayobaki ishi Kama Kobe yaani ikibidi hata ukiwa unatembea tembea na fimbo Kama mzee wa miaka tisini jivute vute ukifanya hivyo nakuhakikishia utaishi miaka mingi na utaona mengi.hiyo Ni Imani yangu wakuu