Ukitaka kuwajua kama wakenya ni civilized subiri wakati wa chaguzi zao

Ukitaka kuwajua kama wakenya ni civilized subiri wakati wa chaguzi zao

msumeno

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
2,826
Reaction score
1,734
Watani zetu ni civilized sana , kwa mamabo mengi kama umahili wa lugha ya kimombo na ''mavazi'' nk. ila ukitaka uwaone u... civilized wao wewe subiri wakati wanafanya chaguzi zao ndio utaona majukwaa yao yaki pambwa na u-cilivilised huo..... AMANI KWENYU WATANI KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU!!!!!!!
 
Watani zetu ni civilized sana , kwa mamabo mengi kama umahili wa lugha ya kimombo na ''mavazi'' nk. ila ukitaka uwaone u... civilized wao wewe subiri wakati wanafanya chaguzi zao ndio utaona majukwaa yao yaki pambwa na u-cilivilised huo..... AMANI KWENYU WATANI KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU!!!!!!!

Eat a dick. You didn't have to be sarcastic on your post you know, you could have just gone on a rant on how Kenya will burn and how you will overtake us economically like most of you empty heads always do on these posts, we are used to it.
 
Eat a dick. You didn't have to be sarcastic on your post you know, you could have just gone on a rant on how Kenya will burn and how you will overtake us economically like most of you empty heads always do on these posts, we are used to
Eat a dick. You didn't have to be sarcastic on your post you know, you could have just gone on a rant on how Kenya will burn and how you will overtake us economically like most of you empty heads always do on these posts, we are used to it.
Mtani mbona umetumia acerbic words sana, au leo sio siku zuri kwako? nani kasema Kenya will burn? kiu ya maendeleo tunayo sana , ndio maana tunachukua kila hatua tuwezayo kuhakikisha kwamba tunakuza ecomony yetu, lakili kamwe si kwa kuwaombea mabaya majirani wetu au washindani wetu kimaedeleo , jifunzeni toka kwetu mambo mengi tu kama stahmala ''tolerance'' na umoja' nasi tutajifuza kimombo maana mwakitafuna hasa......... just kidding mtani
 
Mtani mbona umetumia acerbic words sana, au leo sio siku zuri kwako? nani kasema Kenya will burn? kiu ya maendeleo tunayo sana , ndio maana tunachukua kila hatua tuwezayo kuhakikisha kwamba tunakuza ecomony yetu, lakili kamwe si kwa kuwaombea mabaya majirani wetu au washindani wetu kimaedeleo , jifunzeni toka kwetu mambo mengi tu kama stahmala ''tolerance'' na umoja' nasi tutajifuza kimombo maana mwakitafuna hasa......... just kidding mtani

Thought you were being sarcastic, pole kwa ku misinterpret post yako. Inshallah tutavuka uchaguzi huu kwa amani na umoja na tutaendelee kukuza uchumi na kujenga nchi zetu. hii topic ya uchaguzi ni sensitive sana kwetu, especially ukiangalia historia yetu ya uchaguzi wa awali. i overreacted and I apologize.
 
Watani zetu ni civilized sana , kwa mamabo mengi kama umahili wa lugha ya kimombo na ''mavazi'' nk. ila ukitaka uwaone u... civilized wao wewe subiri wakati wanafanya chaguzi zao ndio utaona majukwaa yao yaki pambwa na u-cilivilised huo..... AMANI KWENYU WATANI KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU!!!!!!!
Civilised ni kufanana na MZUNGU?
 
Kama tungekuwa tunaishi mara mbili,basi baada ya kufa,ningependa kuishi kenya!
Napenda Kenya,wakenya and everything kenyan!
 
Kama tungekuwa tunaishi mara mbili,basi baada ya kufa,ningependa kuishi kenya!
Napenda Kenya,wakenya and everything kenyan!
ninacho wapendea wakenya , uwazi kama umemuuzi hacheki huku amekasirika, la!!! atakasirika na atakwambia sababu, ndio maana wameweza kukabiliana na janga kuu la ukabila maana wamegundua nitatizo na wanalifanyia kazi kwa uwazi ,kizazi kijacho kitashuhudia kenya mpya
 
Back
Top Bottom