BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Ukitaka kwenda haraka nenda pekeako,lakini ukitaka kufika mbali nenda na wenzako.
Ni msemo wa kiswahili na leo tarehe 06 April ulinukuliwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao Ikulu ndogo Dar es aalaam.
Kwa mintaarafu hiyo, huu sasa ndio mwelekeo mpya wa kidiplomasia na mahusiano ya nchi za nje.
Naona ni mwanzo mzuri huu maana Tanzania haipo yenyewe kama kisiwa.
...na kazi iendelee...
Ni msemo wa kiswahili na leo tarehe 06 April ulinukuliwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao Ikulu ndogo Dar es aalaam.
Kwa mintaarafu hiyo, huu sasa ndio mwelekeo mpya wa kidiplomasia na mahusiano ya nchi za nje.
Naona ni mwanzo mzuri huu maana Tanzania haipo yenyewe kama kisiwa.
...na kazi iendelee...