Ukitaka udumu tendoni jaribu kumwaga nje

Ukitaka udumu tendoni jaribu kumwaga nje

per1

Member
Joined
Aug 29, 2024
Posts
75
Reaction score
117
Unapokuwa umejenga nyumba yako nzuri na kuiwekea fens au uzio suala la utupaji taka taka nje kwa majirani linaumiza jitahidi uwe na sehemu ya kuhifazia taka taka

Ukitaka udumu tendoni jaribu kumwaga nje inapelekea kutomaliza hamu yani muda wote unakuwa umedisaaaa....ikishindikana unapata dawa tatizo linakwisha
 
Nisaidie huo mstari
Mwanzo 38:9-10

[9]Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.

[10]Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BWANA, basi akamwua yeye naye.
 
Mwanzo 38:9-10

[9]Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.

[10]Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BWANA, basi akamwua yeye naye.
Aliuliwa kwa kuingia kwa mke wa nduguye alienda kinyume na torati kama ww unavyoenda kinyume
 
Aliuliwa kwa kuingia kwa mke wa nduguye alienda kinyume na torati kama ww unavyoenda kinyume
Hapana na kitendo cha kumwaga chini, maana aliruhusiwa kuingia kwa mke wa ndugu yake ambaye alikuwa amekufa
 
Back
Top Bottom