AminaAWAZAE UZINZI NI MFU BALI ANAE USITIRI MWILI WAKE YESU KRISTO HUMPENDA MTU HUYO
Yesu anasema enendeni dunian mkazaliane unatatizo gani ww kizaz cha nyokaAWAZAE UZINZI NI MFU BALI ANAE USITIRI MWILI WAKE YESU KRISTO HUMPENDA MTU HUYO
Nisaidie huo mstariNgoja nikuletee mstari wakwenye biblia jamaa aliuliwana Mungu kwa kumwaga nje
Ccm tenaHalafu mtegemee CCM itatoka madarakani
Mwanzo 38;9-10Nisaidie huo mstari
Mwanzo 38:9-10Nisaidie huo mstari
Mwanzo 38:9-10Nisaidie huo mstari
Aliuliwa kwa kuingia kwa mke wa nduguye alienda kinyume na torati kama ww unavyoenda kinyumeMwanzo 38:9-10
[9]Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.
[10]Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BWANA, basi akamwua yeye naye.
Hapana na kitendo cha kumwaga chini, maana aliruhusiwa kuingia kwa mke wa ndugu yake ambaye alikuwa amekufaAliuliwa kwa kuingia kwa mke wa nduguye alienda kinyume na torati kama ww unavyoenda kinyume