JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,114
- 3,541
Naam wanajamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mkuu wa mkoa wa Mbeya alisikika akiwaambia wazee wa kimila kama wanaweza kuwatengeneza wanaopinga ubinafsishaji wa bandari na wafanye hivyo. Kifupi ametamani wenye mawazo tofauti na yeye wafe hususan Mwabukusi. Mimi nasema kwa kule kutamani mtu asiye na hatia afe, kiimani umeua tayari.
Watu wengi ndani ya CCM wana roho za uuaji. Kule Mtwara walituletea vifaru na kwa hakika walitukomesha. Kuna watu waliuawa mchana kweupee..
Kuna mambo yanahitaji mjadala, siyo nguvu. Sasa huyu Mkuu wa Mkoa wa mbeya amepitiliza.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mkuu wa mkoa wa Mbeya alisikika akiwaambia wazee wa kimila kama wanaweza kuwatengeneza wanaopinga ubinafsishaji wa bandari na wafanye hivyo. Kifupi ametamani wenye mawazo tofauti na yeye wafe hususan Mwabukusi. Mimi nasema kwa kule kutamani mtu asiye na hatia afe, kiimani umeua tayari.
Watu wengi ndani ya CCM wana roho za uuaji. Kule Mtwara walituletea vifaru na kwa hakika walitukomesha. Kuna watu waliuawa mchana kweupee..
Kuna mambo yanahitaji mjadala, siyo nguvu. Sasa huyu Mkuu wa Mkoa wa mbeya amepitiliza.