GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nikiwaambia Dini Ngumu na wenye Kuabudu katika Kweli katika Imani zetu ni 0.5% tu muwe mnaamini na mnanielewa.
Haya sasa Wewe unayepanga Kutega Kufunga au Kuruka Siku kadhaa unaambiwa ukifanya hivyo kwa Siku Moko (Moja) tu jua ni sawa hujafunga kwa Miaka 83 hivyo ili Dua yako isikike, ipokelewe na ijibiwe na Mwenyezi Mungu (Allah) itakupasa Kwanza ulipie hii Miaka 83 ya Funga unayodaiwa kutokana kwa Kutega Kwako.
Msikilizeni Wasafi FM sasa Kiongozi wa Dini ya Kiislamu (Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam) anavyotiririka na kuserereka.
Haya sasa Wewe unayepanga Kutega Kufunga au Kuruka Siku kadhaa unaambiwa ukifanya hivyo kwa Siku Moko (Moja) tu jua ni sawa hujafunga kwa Miaka 83 hivyo ili Dua yako isikike, ipokelewe na ijibiwe na Mwenyezi Mungu (Allah) itakupasa Kwanza ulipie hii Miaka 83 ya Funga unayodaiwa kutokana kwa Kutega Kwako.
Msikilizeni Wasafi FM sasa Kiongozi wa Dini ya Kiislamu (Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam) anavyotiririka na kuserereka.