Ukitoa ndoa za kileo, utapeli mkuu unaofata ni hamasa na vibaraka wao

Ukitoa ndoa za kileo, utapeli mkuu unaofata ni hamasa na vibaraka wao

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mtoto mdogo kama huyu ananyimwa haki yake ya malezi bora yasiyokubikwa na asili ya ukanda, uadui, hofu na damu lakini too bad atalelewa na matapeli watakaomwambia kuwa wayahudi, wakristo na wazungu ndio adui yake mkubwa.

Then, ataenda achokoze Israel, apewe kipondo, alafu ndugu zake wa bongo waje na nyuzi humu kuoneshwa ni namna gani wapalestina wanaonewa.

20250120_103854.jpg

INTIFADA NI UTAPELI
 
Mtoto mdogo kama huyu ananyimwa haki yake ya malezi bora yasiyokubikwa na asili ya ukanda, uadui, hofu na damu lakini too bad atalelewa na matapeli watakaomwambia kuwa wayahudi, wakristo na wazungu ndio adui yake mkubwa.

Then, ataenda achokoze Israel, apewe kipondo, alafu ndugu zake wa bongo waje na nyuzi humu kuoneshwa ni namna wapalestina wanaonewa.
View attachment 3207101

INTIFADA NI UTAPELI
Israel ilikuwa inauwa watoto kuondowa madhalia ya vigaidi vya baadae.
 
Maudhui ya mada yana mwelekeo mwingine ila bado ndoa inasalia kuwa nzuri, isipokuwa ubinafsi wa mwanadamu.
 
Mtoto mdogo kama huyu ananyimwa haki yake ya malezi bora yasiyokubikwa na asili ya ukanda, uadui, hofu na damu lakini too bad atalelewa na matapeli watakaomwambia kuwa wayahudi, wakristo na wazungu ndio adui yake mkubwa.

Then, ataenda achokoze Israel, apewe kipondo, alafu ndugu zake wa bongo waje na nyuzi humu kuoneshwa ni namna gani wapalestina wanaonewa.


INTIFADA NI UTAPELI
Hamas sio Chadema, unataka uitoe ccm kwenye mtandao, ukitaka mabadiliko lazima damu imwagike ikiwa hakuna namna
 
Back
Top Bottom