ukitolewa prostate unaweza kuzaa,is it possible?

gambalanyoka

Member
Joined
Mar 13, 2011
Posts
63
Reaction score
7
Jamani mimi nilifanyiwa TURP kuondolewa prostate miaka zaidi ya 5 iliyopita na toka wakati huo sijawahi kuona shahawa zinatoka,sasa nina mpenzi wangu nje ya ndoa,amejifungua watoto 2 na ameniambia kuwa ni wangu maana ni machotara nami pia chotara,je inawezekana?
 
usitudanganye, wewe chotara watoto wa mama mwafirika wawe chotara. hiyo si biology bali wanaweza kuwa na rangi ya weupe kiasi fulani. kama umetolewa prostate inaamana umri wako umekwenda je, wataka zaa wajukuu?
kazi ya prostate ni kuotoa maji ya utelezi yanayowezesha mbegu za kiume kusafiri kiurahisi, laikini kutoka katika kende zinatoka kawaida, swali ni je zinafika zinakotakiwa? labda zilifikia hivyo mkeo kapata mimba, au kuna mweupe kamuwahi mkeo katoa tena chotara. hujiamini kapime DNA. kitanda hakizai haramu. chukua watoto kwa manufaa yako baadae.
 
Tibaijuka nashindwa kukuelewa,mimi nimeuliza kuwa je mtu unapotolewa prostate unaweza tena kuzaa?Nimeuliza hivyo kwakuwa nina mpenzi ambae anadai kuwa nimezaa nae watoto.Dada huyo ni mpenzi wangu wa muda mrefu sio mke wangu na wala hahitaji kunidanganya kwani tunasaidiana sana na kuelewana sana tu,sasa unaponiuliza kama nimetoa prostate umri umeenda sana,kwamba nataka kuzaa wajukuu,huo sio msaada bali kejeli,na kama kweli wewe ni daktari basi wagonjwa wako wana kazi.Hatahivyo mimi ni mstaarabu nakusamehe
 
TURP haiondoi prostate yote na haiondoi uwezo wa kuzalisha so inawezekana.

 
unaweza zaa. samahani!! ni katika kautani kuwepo pia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…