Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Laiti wanawake wangekuwa wakinuna hivi wanapotongozwa basiukimwi ungepungua sana lakini leo hii kila akisalimiwa binti ndio kwanza anauliza b/card sasa duh kesho yake lazima mtu aumie sijui kama kuna kupona embu tubadilke
tuseme no najua wanaume wazaifu sana hasa kwenye kutamani lakini ninyi ndio wenye msimamo wa kutaka tuwe wapi
kila la kheri
tuseme no najua wanaume wazaifu sana hasa kwenye kutamani lakini ninyi ndio wenye msimamo wa kutaka tuwe wapi
kila la kheri