Laiti wanawake wangekuwa wakinuna hivi wanapotongozwa basiukimwi ungepungua sana lakini leo hii kila akisalimiwa binti ndio kwanza anauliza b/card sasa duh kesho yake lazima mtu aumie sijui kama kuna kupona embu tubadilke
tuseme no najua wanaume wazaifu sana hasa kwenye kutamani lakini ninyi ndio wenye msimamo wa kutaka tuwe wapi
kila la kheri
Tatizo mnauchekea hadi ukimwihahahahhaaahhh ninune wakati ndo najijua nalipa kiasi gani
Laiti wanawake wangekuwa wakinuna hivi wanapotongozwa basiukimwi ungepungua sana lakini leo hii kila akisalimiwa binti ndio kwanza anauliza b/card sasa duh kesho yake lazima mtu aumie sijui kama kuna kupona embu tubadilke
tuseme no najua wanaume wazaifu sana hasa kwenye kutamani lakini ninyi ndio wenye msimamo wa kutaka tuwe wapi
kila la kheri
mh unafull technique. Kweli umejizatiti kuwapoteza. Hizi njia usinge zipost kwani itakuwa noma wote wakikuiga.mi huwa nacheka sana coz i dont take men serious!kama mtu yuko serious ndo nanuna na kutafakari. na tumewagundua tukiwakataa mnasumbua.so straight to the point,b4 hujasema nakuambia tangaza sera baba,it is all in ur eyes!
sa hapo kanuna nini, mbona bado anaita.. huyo ajanuna yupo tu anatamani vitendo.!!Laiti wanawake wangekuwa wakinuna hivi wanapotongozwa basiukimwi ungepungua sana lakini leo hii kila akisalimiwa binti ndio kwanza anauliza b/card sasa duh kesho yake lazima mtu aumie sijui kama kuna kupona embu tubadilketuseme no najua wanaume wazaifu sana hasa kwenye kutamani lakini ninyi ndio wenye msimamo wa kutaka tuwe wapikila la kheri
Huyo kanuna au anakonyeza? Nampenda jinsi alivyo huyo binti! Lips safi kwa kiss mwaaaah!Laiti wanawake wangekuwa wakinuna hivi wanapotongozwa basiukimwi ungepungua sana lakini leo hii kila akisalimiwa binti ndio kwanza anauliza b/card sasa duh kesho yake lazima mtu aumie sijui kama kuna kupona embu tubadilketuseme no najua wanaume wazaifu sana hasa kwenye kutamani lakini ninyi ndio wenye msimamo wa kutaka tuwe wapikila la kheri