Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaUkiitwa kwenye interview ina maana yalifika tofauti na hapo sijui.
Kwanini wasifikishe? Kua na imani mkuu.Hivi ukituma maombi ya kazi posta kwa njia ya EMS ,utajuaje kama mzigo umefika sehemu husika na je posta uaminifu wao upoje katika hilo kufikisha maombi sehemu husika.?
EMS unaweza ku track shipping process mpaka destination point, ukiingia kwenye website ya posta tafuta EMS section utapata, unaweza kuwapigia call centre piaHivi ukituma maombi ya kazi posta kwa njia ya EMS ,utajuaje kama mzigo umefika sehemu husika na je posta uaminifu wao upoje katika hilo kufikisha maombi sehemu husika.?
Wewe pamoja na anayepelekewa mtajulishwa kwa njia ya simu.Hivi ukituma maombi ya kazi posta kwa njia ya EMS,utajuaje kama mzigo umefika sehemu husika na je posta uaminifu wao upoje katika hilo kufikisha maombi sehemu husika?