Ukiulizwa kama Tanzania ni nchi ya kijamaa au kibepari utajibu nini?

Ukiulizwa kama Tanzania ni nchi ya kijamaa au kibepari utajibu nini?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Tuliokua chini ya utawala wa Mwalimu Nyerere tuliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi ya kijamaa. Katiba bado inasema hivyo.

Ila kimatendo, sijui kama sisi ni wajamaa, mabepari au political hermaphrodite Sijui kusema ukweli.

Wanangu nisaidieni ili nikiulizwa lau niwe na la kujibu. Pia, hii iwafikie wapendwa wanaotuongoza waanze kutuonyesha mwelekeo.

Asanteni sana.
 
Tuliokua chini ya utawala wa Mwalimu Nyerere tuliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi ya kijamaa. Katiba bado inasema hivyo. Ila kimatendo, sijui kama sisi ni wajamaa, mabepari au political hermaphrodite kama siyo mongrel au mule. Sijui kusema ukweli.
Wanangu nisaidieni ili nikiulizwa lau niwe na la kujibu. Pia, hii iwafikie wapendwa wanaotuongoza waanze kutuonyesha mwelekeo. Asanteni sana.
Ni nchi fake
 
Tuliokua chini ya utawala wa Mwalimu Nyerere tuliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi ya kijamaa. Katiba bado inasema hivyo. Ila kimatendo, sijui kama sisi ni wajamaa, mabepari au political hermaphrodite kama siyo mongrel au mule. Sijui kusema ukweli.
Wanangu nisaidieni ili nikiulizwa lau niwe na la kujibu. Pia, hii iwafikie wapendwa wanaotuongoza waanze kutuonyesha mwelekeo. Asanteni sana.
Eleza tu kwa kifupi kwamba Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM, ambayo inaongozwa na kiongozi na mwana mama madhubuti na kipenzi cha waTanzania wote Rais Dr Samia Suluhu Hassan,

Tanzania ni nchi ya ujamaa wa kisasa, ulojengwa katika misingi ya kujitegemea na kutofungamana na upande wowote wa duniani.

Tanzania ni Taifa huru la kidemokrasia, linaloheshimu haki, uhuru na usawa baina ya wanadamu. Ni Taifa linaloendeshwa kwa misingi ya kisheria na kikatiba katika kuyafukia malengo na maendeleo ya wananchi wake.

Umoja, amani na Utulivu ndiyo siri ya mafanikio ya kisiasa, kijamii na kiuchumi waliyonayo waTanzania 🐒

usiongeze kitu gentleman
 
Tanzania haijawahi kuwa ya Kibepari Kwa ukamilifu na wala haijawahi kuwa ya kijamaa kikamilifu.
Nchi hii ina Mlengo wa kati kwenye uchumi wake ni Changamani "Mixed Economy".
Maana yake ni kwamba yapo mambo na sera za kibepari yenye manufaa kwa wananchi yanafanyika na pia yapo mambo na sera za Kijamaa zenye manufaa kwa nchi yanafanyika.

Mfano, serikali kuhodhi huduma muhimu "monopolized" kama maji, umeme na zamani Afya ni sera ya Kijamaa ila inafanyika Tanzania.
Soko huru ni sera ya Kibepari ila inafanyika Tanzania kwa huduma nyingi isipokuwa umeme na maji.

Kwa iyo swali hili jibu lake ni kwamba, Tanzania tuna Mlengo wa kati, hatufungamani na Upebari wala Ujamaa.

Asante kwa uzi huu. Umenirudisha shule Mkuu.
 
Tanzania ni nchi ya Maziwa na Asali, ukitaka kuyalamba kijamaa ama kibepari kazi kwako tu.
 
Tuliokua chini ya utawala wa Mwalimu Nyerere tuliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi ya kijamaa. Katiba bado inasema hivyo.

Ila kimatendo, sijui kama sisi ni wajamaa, mabepari au political hermaphrodite Sijui kusema ukweli.

Wanangu nisaidieni ili nikiulizwa lau niwe na la kujibu. Pia, hii iwafikie wapendwa wanaotuongoza waanze kutuonyesha mwelekeo.

Asanteni sana.
Ni nchi isiyofungamana na upande wowote.

Nadhani sio lazima tuchague upande. Hivi hivi ndio inapendeza.
 
Eleza tu kwa kifupi kwamba Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM, ambayo inaongozwa na kiongozi na mwana mama madhubuti na kipenzi cha waTanzania wote Rais Dr Samia Suluhu Hassan,

Tanzania ni nchi ya ujamaa wa kisasa, ulojengwa katika misingi ya kujitegemea na kutofungamana na upande wowote wa duniani.

Tanzania ni Taifa huru la kidemokrasia, linaloheshimu haki, uhuru na usawa baina ya wanadamu. Ni Taifa linaloendeshwa kwa misingi ya kisheria na kikatiba katika kuyafukia malengo na maendeleo ya wananchi wake.

Umoja, amani na Utulivu ndiyo siri ya mafanikio ya kisiasa, kijamii na kiuchumi waliyonayo waTanzania 🐒

usiongeze kitu gentleman
🙋‍♂️🎯👌👍👏👊🤝🙏
 
Tanzania haijawahi kuwa ya Kibepari Kwa ukamilifu na wala haijawahi kuwa ya kijamaa kikamilifu.
Nchi hii ina Mlengo wa kati kwenye uchumi wake ni Changamani "Mixed Economy".
Maana yake ni kwamba yapo mambo na sera za kibepari yenye manufaa kwa wananchi yanafanyika na pia yapo mambo na sera za Kijamaa zenye manufaa kwa nchi yanafanyika.

Mfano, serikali kuhodhi huduma muhimu "monopolized" kama maji, umeme na zamani Afya ni sera ya Kijamaa ila inafanyika Tanzania.
Soko huru ni sera ya Kibepari ila inafanyika Tanzania kwa huduma nyingi isipokuwa umeme na maji.

Kwa iyo swali hili jibu lake ni kwamba, Tanzania tuna Mlengo wa kati, hatufungamani na Upebari wala Ujamaa.

Asante kwa uzi huu. Umenirudisha shule Mkuu.
🙋‍♂️🎯👌👍👏👊🤝🙏💐🗼🛡️
 
Tuliokua chini ya utawala wa Mwalimu Nyerere tuliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi ya kijamaa. Katiba bado inasema hivyo.

Ila kimatendo, sijui kama sisi ni wajamaa, mabepari au political hermaphrodite Sijui kusema ukweli.

Wanangu nisaidieni ili nikiulizwa lau niwe na la kujibu. Pia, hii iwafikie wapendwa wanaotuongoza waanze kutuonyesha mwelekeo.

Asanteni sana.
Nitajibu: inawezekana Tanzania yenyewe haijielewi labda ni ya kiliberali
 
Tanzania ni Taifa huru la kidemokrasia, linaloheshimu haki, uhuru na usawa baina ya wanadamu. Ni Taifa linaloendeshwa kwa misingi ya kisheria na kikatiba katika kuyafukia malengo na maendeleo ya wananchi wake.

Umoja, amani na Utulivu ndiyo siri ya mafanikio ya kisiasa, kijamii na kiuchumi waliyonayo waTanzania 🐒
Hizo sifa za uhuru, usawa, demokrasia, umoja na amani hata nchi za kibepari zinazo
 
Hizo sifa za uhuru, usawa, demokrasia, umoja na amani hata nchi za kibepari zinazo
Ndiyo maana tupo sambamba nao licha ya kwamba saa zingine wanatuma vibaraka wao kuja kujaribu kuvuruga umoja na amani hiyo,


Na kwa bahati nzuri kama Taifa, tupo macho, na tupo chonjo, na tupo vizuri mno kuwabaini na kuwadhibiti vibaraka hao wa mabwenyenye ya magharibi kwa nguvu na kwa gharama yoyote ile 🐒
 
Tuliokua chini ya utawala wa Mwalimu Nyerere tuliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi ya kijamaa. Katiba bado inasema hivyo.

Ila kimatendo, sijui kama sisi ni wajamaa, mabepari au political hermaphrodite Sijui kusema ukweli.

Wanangu nisaidieni ili nikiulizwa lau niwe na la kujibu. Pia, hii iwafikie wapendwa wanaotuongoza waanze kutuonyesha mwelekeo.

Asanteni sana.m
mixed economy
 
Eleza tu kwa kifupi kwamba Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM, ambayo inaongozwa na kiongozi na mwana mama madhubuti na kipenzi cha waTanzania wote Rais Dr Samia Suluhu Hassan,

Tanzania ni nchi ya ujamaa wa kisasa, ulojengwa katika misingi ya kujitegemea na kutofungamana na upande wowote wa duniani.

Tanzania ni Taifa huru la kidemokrasia, linaloheshimu haki, uhuru na usawa baina ya wanadamu. Ni Taifa linaloendeshwa kwa misingi ya kisheria na kikatiba katika kuyafukia malengo na maendeleo ya wananchi wake.

Umoja, amani na Utulivu ndiyo siri ya mafanikio ya kisiasa, kijamii na kiuchumi waliyonayo waTanzania 🐒

usiongeze kitu gentleman
Naam, nami nahakikisha siongezi wala kupunguza chochote kama ulivyosema gentleman.

Taifa likiwa chini ya sisiem LINAYAFUKIA kwelikweli hayo uliyoyataja.
 
Eleza tu kwa kifupi kwamba Tanzania chini ya serikali sikivu ya CCM, ambayo inaongozwa na kiongozi na mwana mama madhubuti na kipenzi cha waTanzania wote Rais Dr Samia Suluhu Hassan,

Tanzania ni nchi ya ujamaa wa kisasa, ulojengwa katika misingi ya kujitegemea na kutofungamana na upande wowote wa duniani.

Tanzania ni Taifa huru la kidemokrasia, linaloheshimu haki, uhuru na usawa baina ya wanadamu. Ni Taifa linaloendeshwa kwa misingi ya kisheria na kikatiba katika kuyafukia malengo na maendeleo ya wananchi wake.

Umoja, amani na Utulivu ndiyo siri ya mafanikio ya kisiasa, kijamii na kiuchumi waliyonayo waTanzania 🐒

usiongeze kitu gentleman
Unajua maana ya neno kujitegemea? Labda nikuulize swali hili 'Tanzania tunajitegemea tangu lini?'
 
Back
Top Bottom