Ukiuona utupu wa ajuza utalaanika?

Ina maana Kenya hakuna wenyeviti wa vitongoji? Kwa nini mtu avue nguo kwa ajili ya kumaliza kesi ya madai?
 
Alikuwa anatafuta mshandandi tu huyo hamna cha laana wala nini.
 

mathematics usemayo ndiyo sahihi............
 
Last edited by a moderator:
hehehe ,, kuna watu wamepinda hapa duniani.. amepata kitu gani sasa huyo mama zaid ya kuaibika na malipo hakupata ,,

wahida alichopata ni kuwa mcheza filamu za triple xxx kwa muda mfupi na bila malipo..........
 
Last edited by a moderator:

Could be a coincidence............... Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Hyou bibi ana msongo wa mawazo..huwezi vua nguo kwa kudai kodi si atafute 'Majembe' wa Kenya wamsaidie kazi..!

Iza una uhakika kweli anahitaji jembekazi..................au siyo anataka chapaa yake tu?
 
Last edited by a moderator:
Bibi anachojua ni kuwa anayo nyumba
baada ya hapo anataka kodi,
majembe wa kazi gani hapo.

Mamndenyi uko sahihi kama anglikuwa nalipwa chapaa yake haya yote yangelitokea wapi?
 
Last edited by a moderator:
kwa mfano angekuwa ni bi mkubwa wako
ungefanya je.

ningelimshauri ajiheshimu............ Mamndenyi......chapaa siyo maisha ila ni msaada wa kuishi tu.........
 
Last edited by a moderator:
huyo bibi kajidhalilisha mwenyewe tu au alikuwa amejawa na minyege! ingekuwa kukaa uchi ni laana mbona sie tunaotembea na babu zetu tungekuwa vichaaa???!!! laana hadi imshike mtu inakuwa na hadithi ndefu si suala la mtu kujisikia tu kuvua nguo eti inaleta laana kwa mtazamaji khaaa mabibi wengine bwana.. huyo hana lolote alitaka kumshawishi kijana wa watu bure:angry:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…