Lete sample ya risit yenye VAT Calculated nikuonyesheBasi kuna tatizo mahali....kwenye risiti...mbona inakuwa kama VAT ya BEI ya bizaa + BEI ya bizaa (faida+mtaji)= na ela niliyotoa?
Hivyo ndivyo ilivyo...Kama ingekua hivyo sidhani kama wafanyabiashara wangekua wanalalamika.
Usichokielewa hapo ni kwamba huyo muuzaji alipoinunua kiwandani tayari alilipia na VAT ndy maana akalipia 1180 (kwa mfano) kwa kiroba..sasa kosa linakuja ni kuongeza hiyo faida ya 100 kwenye 1180 ambapo akija akidaiwa kodi itamla mpaka mtaji...na hii inatokana na watu wengi kufanya biashara kimazoea kuliko kitaalam..maana hata kupanga bei ya bidhaa ni utaalam..Kama hoja yako ni ya kweli nadhani kutakuwa na tatizo kubwa la utekelezaji wa hiyo kodi kwa wafanyabiashara wadogo,wasiokuwa maajenti wa Mali kutoka viwanda vikubwa.
Katika mfumo wa biashara kwa wenye maduka ya nusu jumla ambao mfuko wa ngano anapata faida ya Tsh 1000 unamwambia aweke 18%ataweza kuuza kweli hiyo Mali?
Au unamlazimisha afunge Duka lake na kutafuta kazi nyingine?maana kwa vyovyote serikali itamfilisi.
Mkuu hebu angalia calculation za VAT hapo chini zilivyofanyika, nadhani nipo sahihiMkuu hapo kwenye VAT Calculation zake haziko hivyo! Kuna fomula yake japo imenitoka kidogo ila sio kuwa 18%ya 12000 ni 2160!!wataalam watakuja.
Check hiyo screenshot hapo chiniKama ingekua hivyo sidhani kama wafanyabiashara wangekua wanalalamika.
Mkuu itakuaje refunded na VAT hawatozi hivyo, VAT inatozwa katika cost ya bidhaa na sio katika selling price ya bidhaa, maana ukiweka selling price ya bidhaa tayar VAT imo!!Kwaiyo 18000 itakuw refunded kwa mfanyabiashara bdae?
Nadhani hapo chini itakusaidia kupata namna VAT inavyotozwaBasi kuna tatizo mahali....kwenye risiti...mbona inakuwa kama VAT ya BEI ya bizaa + BEI ya bizaa (faida+mtaji)= na ela niliyotoa?
Jomba VAT haitozwi kwenye faida.Kama hoja yako ni ya kweli nadhani kutakuwa na tatizo kubwa la utekelezaji wa hiyo kodi kwa wafanyabiashara wadogo,wasiokuwa maajenti wa Mali kutoka viwanda vikubwa.
Katika mfumo wa biashara kwa wenye maduka ya nusu jumla ambao mfuko wa ngano anapata faida ya Tsh 1000 unamwambia aweke 18%ataweza kuuza kweli hiyo Mali?
Au unamlazimisha afunge Duka lake na kutafuta kazi nyingine?maana kwa vyovyote serikali itamfilisi.
Dah!! Kama ivyo kodi kubwa sana mkuuMkuu itakuaje refunded na VAT hawatozi hivyo, VAT inatozwa katika cost ya bidhaa na sio katika selling price ya bidhaa, maana ukiweka selling price ya bidhaa tayar VAT imo!!
Unadhani VAT inalipwa na mfanyabiashara?Dah!! Kama ivyo kodi kubwa sana mkuu
Mkuu hujui biashara utakuwa!Ivi mtu utasemaje VAT analipa mteja wakati hadi sasa nalazimishwa niandike risiti ya soda take away ya tsh 1000.sasa hapo mteja analipaje VAT wakati mimi ninanunua 800 nauza 1000 na nitoe risiti ya VAT. na ukumbuke kila nikikata risiti deni laongezeka kule tra mweisho wa mwaka nadaiwa kodi sijawai ona
Ukiuza recharge voucher za simu za 100000 faida yake ni 5000,sasa ukikatwa 18000 hapo lazima uimbe mabata madogo dogooHili ndo swali nililokutana nalo mara tu baada ya kushuka kutoka kwenye mwendokasi "mminyano". Nilishangaa kuona Kariakoo ipo kama jumapili wakati leo ni siku ya kazi. ...' we hebu fikiria mtu akitoka magomeni mpaka
Kariakoo nauli sh 650, akitoka 650.
Wakati ule unaweza ukamwomba konda usafiri kwa mia tatu tu kuanzia magomeni mpaka Kariakoo, watu lazima wapungue'....alisema jamaa mmoja aliyekuwa anakunywa kahawa. Jamaa mwingine akadakia,.... '' sijawahi kuona kariakoo fremu zipo wazi zinakosa wafanya biashara wa kupanga!!!...hii haijawahi kutokea'' ...
nilipomdadisi sababu, aliendelea....' Wewe hebu fikiria, mfanyabiashara akiuza bidhaa kwa 100,000 TRA wanachukua 18,000 sasa jiulize, mfanyabiashara alinunua ile bidhaa kwa sh ngapi, na anapata faida sh ngapi baada ya kutoa kodi na gharama mbalimbali ikiwepo 18,000 ya TRA....?'.
Nilibaki macho kodo...., Kiukweli serikali iangalie hizi kero na nauli za mwendokasi, na pia iangalie namna ya kuhuisha au kupromote biashara kwa mzunguko kama wa miaka ya nyuma ili kodi ya kutosha ikusanywe...
Wewe niwakala tu wakukusanja kodi mzigo wa kodi utamlalia mtumiaji wa mwsho,Ivi mtu utasemaje VAT analipa mteja wakati hadi sasa nalazimishwa niandike risiti ya soda take away ya tsh 1000.sasa hapo mteja analipaje VAT wakati mimi ninanunua 800 nauza 1000 na nitoe risiti ya VAT. na ukumbuke kila nikikata risiti deni laongezeka kule tra mweisho wa mwaka nadaiwa kodi sijawai ona
Nadhani hapo chini itakusaidia kupata namna VAT inavyotozwa
View attachment 475239