Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Ukiwa barabarani, kuwa makini usije ukagongana na hawa, wakitembea vichwa vimeinama na simu mkononi. Wakitembea mbele hawaoni, wengine wanaishia mitaroni, wanakoswa kugongwa na magari.
Ukiwa barabarani, chukua tahadhari dhidi ya viumbe hivi hatari, kwani macho yao muda wote yapo kwenye vioo vya simu zao, vidole vyao vinaandika jumbe huku miguu yao inatembea.
Ukiwa barabarani na usipo chukua tahadhari, watakuvamia uso kwa uso hata kukuumiza, hawajali wapo eneo gani notification ikiingia lazima wafungue.
Ukiwa barabarani, kuwa makini na viumbe hivi hatari.
Ukiwa barabarani, chukua tahadhari dhidi ya viumbe hivi hatari, kwani macho yao muda wote yapo kwenye vioo vya simu zao, vidole vyao vinaandika jumbe huku miguu yao inatembea.
Ukiwa barabarani na usipo chukua tahadhari, watakuvamia uso kwa uso hata kukuumiza, hawajali wapo eneo gani notification ikiingia lazima wafungue.
Ukiwa barabarani, kuwa makini na viumbe hivi hatari.