Chikwangara
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 685
- 939
-Bei ya chakula kwa mamantilie inaanzia 2000.
-Ukienda kwa mafundi simu hasa Kariakoo, bei zao huanzia elfu 30 kwa smartphone.
-Boda boda huanzia elfu 2, wao huita ni town ride.
-Madalali huanzia chumba laki hata kama ni cha ovyo.
Nyingine ongezeeni wakuu, ili na wasio ijua Dar waweze ijua angalau pakuanzia.
NB: Navozungumzia Dar, namaanisha ni ya maeneo kama Kariakoo, Sinza, Mwenge na sehemu nyingine za Jiji.
-Ukienda kwa mafundi simu hasa Kariakoo, bei zao huanzia elfu 30 kwa smartphone.
-Boda boda huanzia elfu 2, wao huita ni town ride.
-Madalali huanzia chumba laki hata kama ni cha ovyo.
Nyingine ongezeeni wakuu, ili na wasio ijua Dar waweze ijua angalau pakuanzia.
NB: Navozungumzia Dar, namaanisha ni ya maeneo kama Kariakoo, Sinza, Mwenge na sehemu nyingine za Jiji.