Chikwangara
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 685
- 939
Na ndio mara yangu ya kwanza kuja Dar.We wakuja unapotezwa tu na vichochoro vya mjini
hii labda Masaki, au wakuja umepigwaBei ya chakula kwa mamantilie inaanzia 2000
Wakuja karibu mjini.Na ndio mara yangu ya kwanza kuja Dar.
Dar sehemu ya kawaida sana , chumba cha lakimoja cha hovyo wanawakamata nyie wajinga.