Ukiwa Huna Hela Kila Kitu Huwa Kinakuwa Kibaya.

Ukiwa Huna Hela Kila Kitu Huwa Kinakuwa Kibaya.

Nyafwili

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2023
Posts
4,240
Reaction score
10,561
Mtu anapokuwa maskini au kukumbwa na changamoto za kifedha, mara nyingi akili yake huzongwa na mawazo ya matatizo yanayomzunguka, ambayo yanaweza kumfanya aone kila kitu kuwa kibaya.


• Hii ni hali ya kisaikolojia inayotokana na msongo wa mawazo, kukata tamaa, au hata kujihisi kama hana thamani kwa jamii na ndo Maana mda wowote kila kitu atakacho kiona kwa mtu/watu wanamiliki lazima atotelea maneno makali ya kushambulia, lakini ukifuatilia kwa undani zaidi kuhusu hilo jambo utagundua kuwa sababu ya watu wa aina hii ni umasikini na si kitu kingine.


• Ukweli ni kwamba umasikini mara nyingi siyo uchaguzi bali matokeo ya mazingira husika, fursa chache, au changamoto za kijamii na kiuchumi. Jambo muhimu ni kujifunza kuwa na subra na kuelewa kwamba kila mtu ana changamoto zake, na anaweza kukusaidia pale inapowezekana hivyo haina haja ya kushambulia mtu kwa matusi au kwa maneno makali.

Wewe unahisi ni njia gani bora ya kushughulikia hali kama hizo?
 
Nyapu haijawahi kuwa mbaya. Ndo kwanza inanipunguzia mawazo ya kukosa hela
 
Nyapu haijawahi kuwa mbaya. Ndo kwanza inanipunguzia mawazo ya kukosa hela
😂😂😂, Sidhani maana, ukimaliza kuipiga tu. Unaludi kule kule kwenye stress za maisha
 
Waheshimiwa, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO) nikisomea sheria.

Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa za kifedha baada ya kukosa mkopo licha ya kuambatanisha nyaraka muhimu kama cheti cha kifo cha baba yangu.

Control number yangu ni TU233351786402
Jina Joseph Msehi
Nambà yangu ya simu 0741995421

Hali hii imenifanya nifikirie kusitisha masomo kwa muda kutokana na ugumu wa maisha.

Naomba msaada wenu kwa namna yoyote, hasa katika kulipia ada ya mwaka huu, au hata ushauri kuhusu njia bora ya kusonga mbele. Kwa taarifa, nilihitimu shule ya sekondari kwa daraja la kwanza.
 
Waheshimiwa, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO) nikisomea sheria.

Nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa za kifedha baada ya kukosa mkopo licha ya kuambatanisha nyaraka muhimu kama cheti cha kifo cha baba yangu.

Control number yangu ni TU233351786402
Jina Joseph Msehi
Nambà yangu ya simu 0741995421

Hali hii imenifanya nifikirie kusitisha masomo kwa muda kutokana na ugumu wa maisha.

Naomba msaada wenu kwa namna yoyote, hasa katika kulipia ada ya mwaka huu, au hata ushauri kuhusu njia bora ya kusonga mbele. Kwa taarifa, nilihitimu shule ya sekondari kwa daraja la kwanza.
Pole sana mkuu... Najua unapitia changamoto kubwa sana..

Ila changamoto kubwa zaidi kwa sasa watu wamekuwa siyo waaminifu ndo maana Sekta ya kusaidiana imepungua sana. Anyway ngoja tuone wana jf wanasemaje kuhusu hili.
 
Pole sana mkuu... Najua unapitia changamoto kubwa sana..

Ila changamoto kubwa zaidi kwa sasa watu wamekuwa siyo waaminifu ndo maana Sekta ya kusaidiana imepungua sana. Anyway ngoja tuone wana jf wanasemaje kuhusu hili.
Mi nipo tayari kutoa taarifa zozote hitajika kwaajili ya kujiridhisha
 
Mtu anapokuwa maskini au kukumbwa na changamoto za kifedha, mara nyingi akili yake huzongwa na mawazo ya matatizo yanayomzunguka, ambayo yanaweza kumfanya aone kila kitu kuwa kibaya.


• Hii ni hali ya kisaikolojia inayotokana na msongo wa mawazo, kukata tamaa, au hata kujihisi kama hana thamani kwa jamii na ndo Maana mda wowote kila kitu atakacho kiona kwa mtu/watu wanamiliki lazima atotelea maneno makali ya kushambulia, lakini ukifuatilia kwa undani zaidi kuhusu hilo jambo utagundua kuwa sababu ya watu wa aina hii ni umasikini na si kitu kingine.


• Ukweli ni kwamba umasikini mara nyingi siyo uchaguzi bali matokeo ya mazingira husika, fursa chache, au changamoto za kijamii na kiuchumi. Jambo muhimu ni kujifunza kuwa na subra na kuelewa kwamba kila mtu ana changamoto zake, na anaweza kukusaidia pale inapowezekana hivyo haina haja ya kushambulia mtu kwa matusi au kwa maneno makali.

Wewe unahisi ni njia gani bora ya kushughulikia hali kama hizo?
Safi sana kufeni tu na njaa. Tunawaombea maisha marefu ya dhiki, njaa na ufukara ili sisi wachache wenye hela tuwe miungu watu kwenu. Muendelee kuwa machawa na kuwajengea ma SRG na mwendokasi na bwawa la nyerere ya mikopo ya matrillion mjione mnaenda na wakati huku mnakunya maporini hamna maji safi na salama mnaoga gizani kwenye ndoo hamna umeme. Endeleeni tu kutukatia mauno hadharani.

Maskini ni wachawi

Nyau de adriz
 
Nyapu haijawahi kuwa mbaya. Ndo kwanza inanipunguzia mawazo ya kukosa hela
Mnatombatomba tu wake za watu huku mnajirekodi na kuiba Mali za umma halafu unajiona wajaaanjaaa. Mmevunja ndoa za watu na kuleta huzuni.

Tombeni basi kwa staha.

Uumbwaaa nyie.

Nyau de adriz
 
Safi sana kufeni tu na njaa. Tunawaombea maisha marefu ya dhiki, njaa na ufukara ili sisi wachache wenye hela tuwe miungu watu kwenu. Muendelee kuwa machawa na kuwajengea ma SRG na mwendokasi na bwawa la nyerere ya mikopo ya matrillion mjione mnaenda na wakati huku mnakunya maporini hamna maji safi na salama mnaoga gizani kwenye ndoo hamna umeme. Endeleeni tu kutukatia mauno hadharani.

Maskini ni wachawi

Nyau de adriz
Kwa hiyo hutaki kabisa kutoa Ushauri, vijana waache majungu, badala ya kupambana ili wafikie level ya kati-kiuchumi???
 
Back
Top Bottom