Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Inategemeana na maisha unayoishiMiaka nenda rudi nikiwa sina hela , usingizi hauji kabisa hata nifanyeje. Mpk nistue na bia kadhaa.
Mwenzangu ukiwa huna jiwe unalalaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Walah nimecheka kifalaaa....daah ...jameni unga wa chapati kilo 2 una chapati gapi? naona mke wangu ananichezea
jameni unga wa chapati kilo 2 una chapati gapi? naona mke wangu ananichezea
Vijijini MTU aweza kaa hata mwaka hana hela lakini vyakula tele analala usingizi mnono bila shida yoyoteMiaka nenda rudi nikiwa sina hela , usingizi hauji kabisa hata nifanyeje. Mpk nistue na bia kadhaa.
Mwenzangu ukiwa huna jiwe unalalaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Chapati 28 bossjameni unga wa chapati kilo 2 una chapati gapi? naona mke wangu ananichezea
Chapati 50. Kilo moja hua ni chapati 25.jameni unga wa chapati kilo 2 una chapati gapi? naona mke wangu ananichezea
hahahahaha. ukipata jibu tafadhali usije ukampa talaka mkeo. atapata shida kipindi hichi cha coronajameni unga wa chapati kilo 2 una chapati gapi? naona mke wangu ananichezea
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]jameni unga wa chapati kilo 2 una chapati gapi? naona mke wangu ananichezea
Hahahahah hivi watu mna nini jamanijameni unga wa chapati kilo 2 una chapati gapi? naona mke wangu ananichezea
jameni unga wa chapati kilo 2 una chapati gapi? naona mke wangu ananichezea
Very simple mathematics...Miaka nenda rudi nikiwa sina hela , usingizi hauji kabisa hata nifanyeje. Mpk nistue na bia kadhaa.
Mwenzangu ukiwa huna jiwe unalalaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka nenda rudi nikiwa sina hela , usingizi hauji kabisa hata nifanyeje. Mpk nistue na bia kadhaa.
Mwenzangu ukiwa huna jiwe unalalaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app