Natamani hata karantini walahi😢😢Mi nikiwa empty naumwaga kabisa, niishalazwa mara kadhaa.
Nimerekebisha nilijua kilo, thanks24
God save us
Mbona nilisikia watu wa ccm wanasema wamepeleka umeme vijijini kila mtu anafurahia matunda ya awamu ya tano? au nilikuwa naota?Vijijini MTU aweza kaa hata mwaka hana hela lakini vyakula tele analala usingizi mnono bila shida yoyote
Hadaiwi kodi ya nyumba,maji wala umeme
Umene being rahisi kukiko mijiniMbona nilisikia watu wa ccm wanasema wamepeleka umeme vijijini kila mtu anafurahia matunda ya awamu ya tano? au nilikuwa naota?
Sent using Jamii Forums mobile app