ulipokuwa huna pesa wala hawakufuatilia chanzo cha umasikini wako iwe ni uvivu, kwenda kwa waganga, madeni, ulevi, kamari, n.k. watu hawana time kabisa wala kukupa ushauri,
Mambo yanaanza kujipa unatoboa kuwazidi, mtu unachambuliwa zaidi kuzidi hata unavyojifikiria ama unavyoishi, yule atakuwa anaenda kwa mganga, yule atakuwa mwizi, tapeli, yule muoneni tu nyuma ya pazia sie mumdhahaniavyo, pesa zake hazina msaada, anabeti zitaisha tu, n.k. 🤣🤣🤣
Mambo yanaanza kujipa unatoboa kuwazidi, mtu unachambuliwa zaidi kuzidi hata unavyojifikiria ama unavyoishi, yule atakuwa anaenda kwa mganga, yule atakuwa mwizi, tapeli, yule muoneni tu nyuma ya pazia sie mumdhahaniavyo, pesa zake hazina msaada, anabeti zitaisha tu, n.k. 🤣🤣🤣