klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
ana post mia nne katongozwa na waziri, akifika post kama zako nazani atatongozwa na mfalme wa Uganda.sahizi atakuwa anaview kama guest. Dah! Kama ni mimi sirudi ng'o.
sahizi atakuwa anaview kama guest. Dah! Kama ni mimi sirudi ng'o.
ana post mia nne katongozwa na waziri, akifika post kama zako nazani atatongozwa na mfalme wa Uganda.
Waziri gani atamtongoza nazjaz bana?, watu wanaoteshwa vikombe huyu kaoteshwa anatongozwa na waziri. haujatongozwa bana, anaetongozwa hasemi.
Cheo, yaani ni noma tupu. To be seduced na limtu huku linakutisha
ujinga ni pamoja na kutumia avatar inayoonyesha picha yamtu mwingine
Hongera kwa kutokewa mwaya,bahati ya mtende hiyo changamkia!As a lady, lazima natokewa. A problem ni kwamba huyo anayedai eti yeye ni waziri wa wizara nyeti atanikomesha iwapo nitamkataa.
Ukinitumia kile kinywaji kinachokuwa kwenye kikombe cha babu Ambilikile, nadhani itakuwa vyema sana!Nimekugongea THANKS ya ukwel, unakunywa knywaji gn nku2mie kwnye PM? Ila mi co waziri. Ubarikiwe sana!
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life
Huyu Nazjaz aache upuuzi na ujinga wake mambo ya PM anayaleta hapa ili iweje kama mtu umetongozwa whether it be waziri au mtu yeyote sisi haituhusu chochote i have a feeling she was trying to create attention as a grown hauwezi ukaleta upupu wa namna hii hapa it is just too low and too cheap.Khaaa huyu Nazjaz si ndio alikuja na thread ya JF na FB, sasa na JF anataka kuifanya FB, nimemshangaa sana na nimegundua ni mtu anayependa misifa, mambo ya PM anakuja kuyamwaga hadharani tumwelewaje? Maana nilipoiona heading ya Topic nikajua kuna jambo la maana kumbe ni Personal issue halafu ya kipuuzi, amekoma amuulize mwenzake Suzy hajarudia tena upuuzi kam huu
hehehe ankal una hasira kweli kwenye hii sredi, isje ikawa waziri wenyewe ndio wewe?Huyu Nazjaz aache upuuzi na ujinga wake mambo ya PM anayaleta hapa ili iweje kama mtu umetongozwa whether it be waziri au mtu yeyote sisi haituhusu chochote i have a feeling she was trying to create attention as a grown hauwezi ukaleta upupu wa namna hii hapa it is just too low and too cheap.
Ankal hehehe Waziri wa JFhehehe ankal una hasira kweli kwenye hii sredi, isje ikawa waziri wenyewe ndio wewe?
Ukinitumia kile kinywaji kinachokuwa kwenye kikombe cha babu Ambilikile, nadhani itakuwa vyema sana!
hii sredi inabidi ipelekwe jukwaa la business. Mtoa mada naona yupo kib'ness zaidi.mia.
CLOSED.
hahahahahaha!
Hachelewi kusema ameitwa ikulu na obama. Dah! Nikihitaji kozi ya mashauzi inabidi nimkonsalti naz
Ankal hehehe Waziri wa JF
tunashkuru na wewe umechangia. umemaliza au tusubiri utaendelea?mie sijaona why mnamuatack huyo Nazjaz kama thread mnaiona ni utoto ushamba ujinga si muipotezee tu?
mwaya Naz changamka mabuzi ndio hayoooo yanajileta yenyewe!:tape: