Hayo ni mawazo yake potofu! Tena ashindwe na alegee. Wa2 2nawaza namna gn 2taikomboa nchi mikononi mwa mafisadi ye ana2letea swaga za uswazi, aende zake bana!
mbona sijakuona ukileta mada inayohusu kuikomboa nchi mikononi mwa mafisadi.?..acha mashauzi!
Nasubiri we ulete nichangie! Mwenye mashauzi ni wewe unaewashwa na yacyokuhusu! We ushaleta ngapi yakhe???
sijaleta kwani umeniona mie nina shauo la mbilimbi kama wewe?????oooh unawaza jinsi ya kuikomboa nchi kutoka kwa mafisadi...huna lolote!unawaza mabwana zako tu humu!
Yalaaaaa! Hii mistari ulyoshuka nayo hapa ungeipeleka studio utatoka na Boooonge la single! Afu itauza balaaa m2
wngu!
hehehe hawa wanaosema huyu mgeni nazani wao ndio wageni, hebu waende kwenye profile la huyu mdada halaf waangalie sredi alizoanzisha b4. miongoni mwao ni
-midume inayoniPM
-wiki bila kutongozwa
-na hii ya leo waziri kamtongoza.
khaaaa!
yaani huyu ukifatilia sredi zake unapata formula hii : first name ni "nazjaz" middle name "PM" na surname "kutongozwa"
ndio ukome!si ulijidai unaweza kusema mbovu,ukakuta kama ni njiti hapa zimejaa kibao,we endelea kujishaua nikufundishe adabu shenzi!
Nimekuelewa mke wa waziri! Unakunywa kinywaji gani?
kuota inaruhusiwa jamani.mwacheni aote inaonesha anatamani haya mambo ndo mana kila dkk anajipakazia.
hii ya waziri kali,ningependa kujua ni wa wizara gani.
vizuri kama umeshika adabu,kinywaji save it for mumeo...sihitaji,thanks anyway.
Mwulize Saaly, atakutajia mpk jina la huyo waziri, achilia mbali wizara yake.
Cna mume ndo mana nataka nikusavie wewe!
:bored:
SweetLady na Saaly mnachafua JF....Tafadhalini kama mna akili timamu tafuteni mahali sahihi pa kuambiana mipasho yenu sio hapa jukwaani...nendeni hata JF......
Some people bana, thread inasema ukiwa JF acha ujinga lakini mnachofanya contrary, au ndio mambo ya kukojoa ulipoambiwa usikojoe na kutokojoa unapoambiwa kojoa hapa?....xhhxxxxhh
Hayo ni mawazo yake potofu! Tena ashindwe na alegee. Wa2 2nawaza namna gn 2taikomboa nchi mikononi mwa mafisadi ye ana2letea swaga za uswazi, aende zake bana!
Kila mwanamke ameumbwa na hulka ya kuamini kuwa ana sifa ya uzuri. Hivyo basi wanawake tunaamini kwamba uzuri huo unaonenaka kwa nje kupitia mivuto.
Mivuto hiyo huwavuta wanaume wengine wakusalimie, wengine wapige jicho ili mradi wajiburudishe, na wale walio na ushujaa na ujasiri huwa hawasiti kukutongoza, na hapa kila mwanaume ana gia zake za kumwingia mwanamke.
Je dada mwenzangu huwa unajisikiaje ikipita wiki nzima hujasalimiwa na wavulana wenye jicho la kukutamani, hujatongozwa na wala hujasifiwa?
Binafsi last week ndio ilikuwa wiki niliyokuwa nimekosa kabisa watu wa kunichangamkia, nkajiuliza sana je nimezeeka au nyota yangu imetembelewa na mtu (l'm kidding, siamini mambo ya nyota)
Mko wapi rafiki zangu? Mbona
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life
Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
Walinikalisha kuniuliza kama nimeshapata mchumba au rafiki nisisite kumpeleka nyumbani. Nikawaambia sawa nikimpata ntamleta.
Nikawailiza mahari inakuwaje kulingana na mila zetu?
Wakanitajia, nikapiga hesabu nikaona mahari inafika kama milioni moja na laki 2.
Nikawaambia wazazi wangu kuwa, kwakuwa nina shamba kisarawe, nikipata mchumba wamwambie alete matofali ya kuanzia kwa ajili ya nyumba ambayo itakuwa yangu na mume wangu.
Baba yangu alipinga na kuongea maneno yote mabaya.
Je nilikosea nini?
Au aliona namzibia hela za bakuli la komoni?
Hivi hizi zote ni zake au naota????
Hivi hizi zote ni zake au naota????
aisee nilikutafuta wewe kwa ajili ya kucompile hiyo kazi ya chini. Gud job.