Ukiwa kama kocha utaanza na mshambuliaji gani hapa?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Chagua mshambuliaji mmoja tu wakuanza nae katika kikosi chako kutoka katika list ya washambuliaji waliopo pichani
 
Suarez, drogba, hary kane, aguero wote mbele pale
 
Naanza na watatu hapo. Berbetov na RVP wanazima kutokea pembeni kati namuweka Drogba nasubiri UCL, FA na EPL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…