Ukiwa kama mwalimu/mkufunzi utatambuaje kuwa mwanafunzi wako ni "mzuri" kitaaluma?

Ukiwa kama mwalimu/mkufunzi utatambuaje kuwa mwanafunzi wako ni "mzuri" kitaaluma?

Wickama

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2009
Posts
1,466
Reaction score
1,196
Kuna mtazamo kuwa MTIHANI sio njia sahihi sana ya kupima uwezo wa wanafunzi/wanachuo nk. Kama wewe ndio unafundisha wanafunzi wa ngazi/fani au kozi yoyote ile ni dalili zipi mbali na mtihani zitakupa msimamo kuwa mwanafunzi huyu ni "mzuri" kitaaluma? Tuchangie.
 
Kuna mtazamo kuwa MTIHANI sio njia sahihi sana ya kupima uwezo wa wanafunzi/wanachuo nk. Kama wewe ndio unafundisha wanafunzi wa ngazi/fani au kozi yoyote ile ni dalili zipi mbali na mtihani zitakupa msimamo kuwa mwanafunzi huyu ni "mzuri" kitaaluma? Tuchangie.
kwanza kabisa mwanafunzi mzuri kitaaluma ni yule mwenye critical thinking na anayeweza kukureason na kukupa challenge hata kwa ki2 kidogo mno kwa kuwa uelewa wake una kiu ya kujifunza na kuelewa kila ki2 haikalishi ni kidogo kiasi gani na pia huwa ana idea zake mwenyewe kuhusiana na mada inayojadiliwa viko vingi ila vichache ndo hivyo mm nielewavyo
kuongezea ni kuwa mtihani sio njia ya kupima uelewa wa mwanafunzi kwa kuwa wengi huwa hawajiamini kabisa kwenye mitihani na hivyo kupelekea kufeli.
 
huwa wanakuwa fast learner, yaan ukiaandka kichwa cha somo ye anajiongeza na anaaelewa nin ktakachofundshwa, aina ya maswal anayouliza n ya msing sana au n fikirish, pia wana uwezo wa kuthink beyond even teacher ability. ukiwa na mwanafunz kama uyu, kaz yako wewe mwalm n ni kumfacilitate aelewe, na sio kumfundsha. unampa mwanga kdogo ye anamalzia
 
Moja ni jinsi anavyo respond kwenye somo lako mfano utayari wa kushiriki kikamirifu kwenye somo pamoja n.a. kujibu n.a. kuuliza maswali
 
Back
Top Bottom