Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
[TABLE="class: t1"]
[TR]
[TD="class: td1"]48.-(1) Mtu aliyekamatwa au aliyewekwa kizuizini ana haki ya:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) kuelezwa kwa lugha anayoifahamu:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(i) sababu ya kukamatwa kwake;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(ii) haki ya kutokutoa maelezo yoyote; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(iii) matokeo ya kutoa maelezo;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) kuwasiliana na wakili au mtu mwingine ambaye msaada wake ni
[TABLE="class: t1"]
[TR]
[TD="class: td1"]
muhimu kwa mtuhumiwa;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) kutolazimishwa kutoa maelezo ya kukiri kosa ambayo yatatumika kama ushahidi dhidi yake;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(d) kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo kama itakavyoelekezwa katika sheria; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(e) kuwekwa katika mazingira yanayozingatia haki za binadamu.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](2) Mtu anayetumikia kifungo ana haki ya:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) kuhifadhiwa katika mazingira yanayozingatia haki za binadamu;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) kupata nakala ya mwenendo wa mashtaka na nakala ya hukumu kwa madhumuni ya kukata rufaa; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) kuwasiliana na wakili au mtu mwingine ambaye msaada wake ni muhimu katika kukata rufaa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](3) Bunge litatunga sheria itakayoweka utaratibu utakaowezesha:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) mtuhumiwa kupata nakala ya mashtaka yanayomkabili;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) mtuhumiwa kufikishwa mahakamani na kuomba dhamana kwa mujibu wa sheria; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) mfungwa kupata kumbukumbu ya nakala ya mashtaka na hukumu baada ya shauri kukamilika mahakamani.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
ENDAPO UTAIKUBALI KATIBA INAYOPENDEKEZWA
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="class: td1"]48.-(1) Mtu aliyekamatwa au aliyewekwa kizuizini ana haki ya:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) kuelezwa kwa lugha anayoifahamu:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(i) sababu ya kukamatwa kwake;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(ii) haki ya kutokutoa maelezo yoyote; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(iii) matokeo ya kutoa maelezo;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) kuwasiliana na wakili au mtu mwingine ambaye msaada wake ni
[TABLE="class: t1"]
[TR]
[TD="class: td1"]
muhimu kwa mtuhumiwa;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) kutolazimishwa kutoa maelezo ya kukiri kosa ambayo yatatumika kama ushahidi dhidi yake;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(d) kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo kama itakavyoelekezwa katika sheria; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(e) kuwekwa katika mazingira yanayozingatia haki za binadamu.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](2) Mtu anayetumikia kifungo ana haki ya:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) kuhifadhiwa katika mazingira yanayozingatia haki za binadamu;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) kupata nakala ya mwenendo wa mashtaka na nakala ya hukumu kwa madhumuni ya kukata rufaa; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) kuwasiliana na wakili au mtu mwingine ambaye msaada wake ni muhimu katika kukata rufaa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](3) Bunge litatunga sheria itakayoweka utaratibu utakaowezesha:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) mtuhumiwa kupata nakala ya mashtaka yanayomkabili;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) mtuhumiwa kufikishwa mahakamani na kuomba dhamana kwa mujibu wa sheria; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) mfungwa kupata kumbukumbu ya nakala ya mashtaka na hukumu baada ya shauri kukamilika mahakamani.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
ENDAPO UTAIKUBALI KATIBA INAYOPENDEKEZWA
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]