Ukiwa kwenye mahusiano na Single Mother anaejitambua hata kama hutamuoa yeye hakika utapenda uoe uwe na mke

Ukiwa kwenye mahusiano na Single Mother anaejitambua hata kama hutamuoa yeye hakika utapenda uoe uwe na mke

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Salamu jamii,

Tunazaliwa tunakutana na taratibu za jamii na za mungu.

Pamoja na vijembe vya wanaume desperate na wenye chuki za kitoto na za kimaskini.

Nawaambia kweli iliyo kweli, ukipata bahati ya kuwa na mahusiano na Single Mother anaejitambua hakika hata kama hutomuoa yeye basi iwe isiwe utapenda uoe na uwe na mke.

Single Mother anaejitambua ni daraja la mafanikio kwenye maisha.

Mungu ni wetu sote

Shukrani 🙏🙏🙏

Wadiz
 
Raha ya single mother uwe una mke kabisa pale uwe unapitaga wallah waweza jiona wewe mwanaume wadunia nzima
Yaani mimi kabisa mzee,, kuna wakati natamani angalau nimzalishe tu hata mmoja,, huba kama lote,, tatizo tu kule kama kutaka kujiweka sawa na wife hapo tu ndio atanikosea,, wife atabaki na nafasi yake daima,,
 
Ila kijana km ujaoa usijaribu kuoa single mother ..mm nimebahatika kupata mtt na mdada mmoja hv tuliishii miaka mitano km mke na mume no ndoa ,baadae yakatokea yakutokea msela nikapita hv na mtt wangu ikapita miaka miwili napambana na dogo ,Dem yy naye akaendelea na maishà yake akapata mselaaa ,msela akachota chombo akaweka ndan Tena Kwa harusi kbs uku akijua kbs Dem n single Maza ,bac baada ya ndoa haijapita hata miez cta Dem ananitafutaa ooohh nimemic familia yangu ambayo n ww na mtt najuta hata kwann nimeolewa nikawachaa..mm kmyaa ,bac usumbufu ukaanza nimemic penzi lako ,mara ntakujaa home then tufanye yetu uku nilipo sifurah kbs kitandan ,mm nikaona c vzr kumlia mshikaji mzigo wakee maaana kagharamia mpk harusi alafu Leo tu amfumee Bado namla manzi Ake itakuwa fedhea na akimuacha ataendaa wap ,maana mm mwenyewe cna time nae ..ilaa Dem kageuka msumbufu mpk nataman nipate namba ya jamaa yake nimwambiee amwambiee mkewe atuliee ,mm na yy tulishafunga kurasa ...
 
Ila kijana km ujaoa usijaribu kuoa single mother ..mm nimebahatika kupata mtt na mdada mmoja hv tuliishii miaka mitano km mke na mume no ndoa ,baadae yakatokea yakutokea msela nikapita hv na mtt wangu ikapita miaka miwili napambana na dogo ,Dem yy naye akaendelea na maishà yake akapata mselaaa ,msela akachota chombo akaweka ndan Tena Kwa harusi kbs uku akijua kbs Dem n single Maza ,bac baada ya ndoa haijapita hata miez cta Dem ananitafutaa ooohh nimemic familia yangu ambayo n ww na mtt najuta hata kwann nimeolewa nikawachaa..mm kmyaa ,bac usumbufu ukaanza nimemic penzi lako ,mara ntakujaa home then tufanye yetu uku nilipo sifurah kbs kitandan ,mm nikaona c vzr kumlia mshikaji mzigo wakee maaana kagharamia mpk harusi alafu Leo tu amfumee Bado namla manzi Ake itakuwa fedhea na akimuacha ataendaa wap ,maana mm mwenyewe cna time nae ..ilaa Dem kageuka msumbufu mpk nataman nipate namba ya jamaa yake nimwambiee amwambiee mkewe atuliee ,mm na yy tulishafunga kurasa ...
Hii ni roho yako kweli mkuu au unaekti
 
Ila kijana km ujaoa usijaribu kuoa single mother ..mm nimebahatika kupata mtt na mdada mmoja hv tuliishii miaka mitano km mke na mume no ndoa ,baadae yakatokea yakutokea msela nikapita hv na mtt wangu ikapita miaka miwili napambana na dogo ,Dem yy naye akaendelea na maishà yake akapata mselaaa ,msela akachota chombo akaweka ndan Tena Kwa harusi kbs uku akijua kbs Dem n single Maza ,bac baada ya ndoa haijapita hata miez cta Dem ananitafutaa ooohh nimemic familia yangu ambayo n ww na mtt najuta hata kwann nimeolewa nikawachaa..mm kmyaa ,bac usumbufu ukaanza nimemic penzi lako ,mara ntakujaa home then tufanye yetu uku nilipo sifurah kbs kitandan ,mm nikaona c vzr kumlia mshikaji mzigo wakee maaana kagharamia mpk harusi alafu Leo tu amfumee Bado namla manzi Ake itakuwa fedhea na akimuacha ataendaa wap ,maana mm mwenyewe cna time nae ..ilaa Dem kageuka msumbufu mpk nataman nipate namba ya jamaa yake nimwambiee amwambiee mkewe atuliee ,mm na yy tulishafunga kurasa ...
Mh....Kwa maaiabu gan uliyonayo kitanda I??? Unajishaia tuuu huna lolote
 
Back
Top Bottom