JIULIZE KWANZA JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 2,569 Reaction score 500 Oct 29, 2014 #1 Kwa wadau na manguli wa sheria za bongo tuu. Je ni kweli kisheria za tanzania ukiwa ni mtumishi kiongozi wa (ngo) non government organization huruhusiwi kugombea nafasi yeyote ya kisiasa serikalini??? Kam ndi ni kifungu kipi cha sheria kinakataZA??
Kwa wadau na manguli wa sheria za bongo tuu. Je ni kweli kisheria za tanzania ukiwa ni mtumishi kiongozi wa (ngo) non government organization huruhusiwi kugombea nafasi yeyote ya kisiasa serikalini??? Kam ndi ni kifungu kipi cha sheria kinakataZA??