Story za vijiweni hizo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni kweli, ukiwa mwongo jifunze kuwa na kumbukumbu vinginevyo iko siku utaumbuka!
jamaa mtu mzima kakaa anawapigiwa stori washkaji zake!
"kuna siku tupo porini niko nakatakata nyama ya swala nipakie garini nikakata mguu na paja nikaweka mabegani"mara ghafla simu ya jamaa ikaita alivyomaliza kuongea akauliza hivi niliishia wapi vile?!
jamaa wakamjibu umebeba miguu na mapaja mabegani*
jamaa enheee basiii nikamgonga yule demu hadi akakoma**
watu walicheka kidogo wafeee
my game,my rules
starehe hasajamaa mtu mzima kakaa anawapigiwa stori washkaji zake!
"kuna siku tupo porini niko nakatakata nyama ya swala nipakie garini nikakata mguu na paja nikaweka mabegani"mara ghafla simu ya jamaa ikaita alivyomaliza kuongea akauliza hivi niliishia wapi vile?!
jamaa wakamjibu umebeba miguu na mapaja mabegani*
jamaa enheee basiii nikamgonga yule demu hadi akakoma**
watu walicheka kidogo wafeee
my game,my rules
[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] stable woman
Nambie[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] stable woman