Ukiwa Na Demu Wa Hivi Lazima Upate Vichomi

Pilipilihoho

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2016
Posts
202
Reaction score
145
Jamaa mmoja alipigwa na homa kali ya malaria mpaka akalazwa. Akiwa hospitali hali yake ilianza kuimarika.

Habari zikamfikia demu wake kupitia mashoga zake kuwa msela wake anaumwa na kalazwa hospitali.

Baada ya muda mchache, yule jamaa akapokea ujumbe mfupi;

Demu: Hello baby! Uko wapi? Kwako sijakukuta.

Jamaa: Nipo hospitali ya rufaa hapa Muhimbili nimelazwa.

Demu: Pole sana baby! Nirushie nauli na hela ya matunda nije nikuone.

Nyie wadada Mungu anawaona!!!!
 
Teh teh
 
Mmh! Wa aina hiyo ni kumi kwa mmoja.
 
Sio vichomi tu unaweza zimia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…