Ukiwa na hela (tajiri) zingatia haya, tafuta watu

Ukiwa na hela (tajiri) zingatia haya, tafuta watu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
1. Una hela huna mpambe ni ajabu. Wewe unajisifu una hela huna mpambe, unapambana mwenyewe, husemwi, hisifiwi. Hizo ni pesa au maagizo ya mganga?

2. Unajisifu una hela, unakamatwa na mambo kesi ya uzurulaji, hata mambo hawakuogopi, unapanda karandinga la mambo. Hizo hela au hujielewi?

3. Una hela haina namba ya OCD, RPC. Hapo unakuwa unakwama pakubwa. Unapata kesi polisi, unahudhuria kama lofa wakati wengine tunapiga simu na kesi tunatoka maelekezo tu.

4. Una pesa unakaa benchi hospitalini. Yaani huna namba ya daktari hata mmoja. Huko ni kutojielewa na labda utajiri wa ndagu. Mwenye pesa akifika hospitali akifika mapokezi anapita moja kwa moja.

5. Una pesa unafungiwa duka au biashara na vijana wa jiji. Yaani umeshindwa kupata connection na watu wa TRA, hizo au ndagu.

6. Una pesa unatembea na leseni ya udereva kwenye mji wako. Yaani hata trafiki hakutambui, anakagua usafiri wako kama learner. Aisee pole.

7. Wewe tajiri unajieleza hutambuliki, upo tu, unakwama ndugu yangu.

8. Una pesa unajieleza sana kwa michepuko, huko ndo kutokuheshimu pesa zako. Ukiwa na hela au utajiri jitahidi utambulike hawa watumishi wadogo wasisumbue mali au biashara zako.
 
1. Una hela huna mpambe ni ajabu. Wewe unajisifu una hela huna mpambe, unapambana mwenyewe, husemwi, hisifiwi. Hizo ni pesa au maagizo ya mganga?

2. Unajisifu una hela, unakamatwa na mambo kesi ya uzurulaji, hata mambo hawakuogopi, unapanda karandinga la mambo. Hizo hela au hujielewi?

3. Una hela haina namba ya OCD, RPC. Hapo unakuwa unakwama pakubwa. Unapata kesi polisi, unahudhuria kama lofa wakati wengine tunapiga simu na kesi tunatoka maelekezo tu.

4. Una pesa unakaa benchi hospitalini. Yaani huna namba ya daktari hata mmoja. Huko ni kutojielewa na labda utajiri wa ndagu. Mwenye pesa akifika hospitali akifika mapokezi anapita moja kwa moja.

5. Una pesa unafungiwa duka au biashara na vijana wa jiji. Yaani umeshindwa kupata connection na watu wa TRA, hizo au ndagu.

6. Una pesa unatembea na leseni ya udereva kwenye mji wako. Yaani hata trafiki hakutambui, anakagua usafiri wako kama learner. Aisee pole.

7. Wewe tajiri unajieleza hutambuliki, upo tu, unakwama ndugu yangu.

8. Una pesa unajieleza sana kwa michepuko, huko ndo kutokuheshimu pesa zako. Ukiwa na hela au utajiri jitahidi utambulike hawa watumishi wadogo wasisumbue mali au biashara zako.
Gen hovyo watakubishia,ila mi nakuelewa,mwaka wasaba sasa sijatongoza ila kila weeknatafuna pisi kali,hela zangu ndio zinatongoza sio mimi,
 
1. Una hela huna mpambe ni ajabu. Wewe unajisifu una hela huna mpambe, unapambana mwenyewe, husemwi, hisifiwi. Hizo ni pesa au maagizo ya mganga?

2. Unajisifu una hela, unakamatwa na mambo kesi ya uzurulaji, hata mambo hawakuogopi, unapanda karandinga la mambo. Hizo hela au hujielewi?

3. Una hela haina namba ya OCD, RPC. Hapo unakuwa unakwama pakubwa. Unapata kesi polisi, unahudhuria kama lofa wakati wengine tunapiga simu na kesi tunatoka maelekezo tu.

4. Una pesa unakaa benchi hospitalini. Yaani huna namba ya daktari hata mmoja. Huko ni kutojielewa na labda utajiri wa ndagu. Mwenye pesa akifika hospitali akifika mapokezi anapita moja kwa moja.

5. Una pesa unafungiwa duka au biashara na vijana wa jiji. Yaani umeshindwa kupata connection na watu wa TRA, hizo au ndagu.

6. Una pesa unatembea na leseni ya udereva kwenye mji wako. Yaani hata trafiki hakutambui, anakagua usafiri wako kama learner. Aisee pole.

7. Wewe tajiri unajieleza hutambuliki, upo tu, unakwama ndugu yangu.

8. Una pesa unajieleza sana kwa michepuko, huko ndo kutokuheshimu pesa zako. Ukiwa na hela au utajiri jitahidi utambulike hawa watumishi wadogo wasisumbue mali au biashara zako.
Una hela umeme ukikatika huna suluhu mpaka warudishe tanesko
 
Nilipokuja kujua kuna watu wa kawaida tu wenye mishe zao binafsi mjini wanapigia simu traffic wa barabarani wasimamishe magari ili wawahi airport au kwenye kashughuli fulani binafsi, heshima yangu kuhusu huu mji ilipanda juu sana.
 
Back
Top Bottom