The Most Winner
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 733
- 960
Sasa kama wewe ni Mdada umesema haya na hapa wanazungumzia wadadaWengi wenye kaz za kuingia night huwa hawaaminiki hata maaskari hawa, unakuta anakuambia niko lindo leo usiku kumbe anaenda lindo analolijua. Yataka moyo
Ukweli 100% mkuu .Hata wao kwa wao na madoctor usiku wakiwa shift wanamaliza kwenye vyumba vya OPD
Hiyo ya kila port kuwa na mke ipo sababu melini pesa yako haitumiki na mtu kukaa muda mrefu bila kuonana na mwanamke.kumbe hata mm sikujua km ni mzoefu na maisha hata huku upo?
swali nje ya mada vp Mabaharia eti wana nyumba ndogo kila port au wanasafiri nao
ni kweli? wakiwakamata stow away wanawashughulikia?
Mkuu wanachapwa kinoma hao watu,ni vile tu labda wewe siyo mfuatiliaji,na ndoa ndo inataka hivyo,mmoja awe boyaboya,mwingine mjanja.Yaani hiyo kada,mmmmh! utulivu kwao ni zero kabisa,sijui hata wanaoamua kuwaoa sijui ni watu wa namna gani,aisee zinachapika kinoma.Wengine ndio tumeo wauguzi na bado utulivu tunauona wa kutosha kifupi ni amani tu au ndio bado niendelee kuwa mvumilivu all in all in Baba Levo's voice tuzungumze sana na wenza wetu kabla ya kuona kuepuka ukurupukaji
Uko sahihi ndio maana mazungumzo ni muhimu kabla hujaamua kuoaMkuu wanachapwa kinoma hao watu,ni vile tu labda wewe siyo mfuatiliaji,na ndoa ndo inataka hivyo,mmoja awe boyaboya,mwingine mjanja.Yaani hiyo kada,mmmmh! utulivu kwao ni zero kabisa,sijui hata wanaoamua kuwaoa sijui ni watu wa namna gani,aisee zinachapika kinoma.
Huo ni utetezi wao ukiwaambia kua mna tabia mbaya,hujibu hivyo,ila in most cases ni wahuni hutakiwi kua na wivu ukiwa na mahusiano nao,wanachapika mno.
Hapa nimikuelewa ukisema wengi ni wahuni ila waungwana wapoHuo ni utetezi wao ukiwaambia kua mna tabia mbaya,hujibu hivyo,ila in most cases ni wahuni hutakiwi kua na wivu ukiwa na mahusiano nao,wanachapika mno.
Mkuu ukisema uzingumze nao atakwambia 'INATEGEMEA NA AKILI YA MTU' jichanganye uoe sasa,labda usiwe na ka wivu kua huyu ni mke wangu na sitaki tusheeshee,hapo utaishi kwa amani,mi nimeshuhudia na nimekua na mahusiano nao na nimeona walikua na mahusiano nao,yaani wao ngono ni jambo la kawaida tu.Uko sahihi ndio maana mazungumzo ni muhimu kabla hujaamua kuoa
Wewe ndiye uliye ingilia penzi la watu ...huyo jamaa ni demu wake kabla yako hivyo mchepuko ulikuwa wewe.Wakuu katika harakati zangu niliwahi kuwa na mahusiano na dada mmoja ambae ni Nesi huyu nili-plan had kumuoa ili tusaidiane kwenye maisha.
Hatua za mwisho za mahusiano yetu alianza kunidanganya yupo shift za usiku kila siku, lakini hali ilizidi hadi nikahisi hatari nikiwa kama binadamu mwenye moyo nilianza kumchunguza, siku 1 nilienda sehemu anayofanya kazi night lakini wale wafanyakazi wenzake wakaniambia hayupo na siku hiyo alisomeka off duty, ilibidi niondoke tu nikakaa kimya.
Asubuhi nikamuuliza jana ulikuwa kazini? Akaanza kunijibu "kwani sikukwambia kuwa nipo shift ya usiku? Au unaniona malaya? "
Ilibidi nitumie busara za kiume tu nikamwambia samahani nilisahau, siku zilienda mapenzi yakapungua kumbe alikuwa anatembea na mkuu wake wa kazi. Nilijaribu tena kwenda night kwa baadhi ya siku zingine zilizofata na baadae nilichoka.
Siku moja nikamwita nikamueleza ukweli wote na vithibitisho vya kutosha baadae nikamwambia "kama tulivyopendana kwa wema naomba mapenzi yetu nayo yaishe kwa wema, nilikupenda sana lakini kwa sasa mapenzi yamegonga ukuta. Naomba uendelee na maisha yako nami niendelee na maisha yangu"
Aliniomba msamaha lakini nilishindwa kabisa kumsamehe na nilishukuru kwa kuyatambua yale mapema pengne ningekuja kuyatambua wakati tumeoana ingekuwa ni msalaba mzito zaidi kwangu
GunFire
Jao unaosema ni waungwana hutakiwi kuwafuatilia mkuu,kuwajua undani wao,ukiwafuatilia hiwezi kuoa hao watu,utachapiwa sana.Hapa nimikuelewa ukisema wengi ni wahuni ila waungwana wapo
Bado nasisitiza uko sahihi na mimi nakazia pia unaweza kufanikiwa kupata mwanamke nesi na akawa ametulia mfano ninao sijisifuMkuu ukisema uzingumze nao atakwambia 'INATEGEMEA NA AKILI YA MTU' jichanganye uoe sasa,labda usiwe na ka wivu kua huyu ni mke wangu na sitaki tusheeshee,hapo utaishi kwa amani,mi nimeshuhudia na nimekua na mahusiano nao na nimeona walikua na mahusiano nao,yaani wao ngono ni jambo la kawaida tu.
Kabisa
Ungevumilia tu inawezekana alikuwa anajenga ya jayo na Boss wake....Wakuu katika harakati zangu niliwahi kuwa na mahusiano na dada mmoja ambae ni Nesi huyu nili-plan had kumuoa ili tusaidiane kwenye maisha.
Hatua za mwisho za mahusiano yetu alianza kunidanganya yupo shift za usiku kila siku, lakini hali ilizidi hadi nikahisi hatari nikiwa kama binadamu mwenye moyo nilianza kumchunguza, siku 1 nilienda sehemu anayofanya kazi night lakini wale wafanyakazi wenzake wakaniambia hayupo na siku hiyo alisomeka off duty, ilibidi niondoke tu nikakaa kimya.
Asubuhi nikamuuliza jana ulikuwa kazini? Akaanza kunijibu "kwani sikukwambia kuwa nipo shift ya usiku? Au unaniona malaya? "
Ilibidi nitumie busara za kiume tu nikamwambia samahani nilisahau, siku zilienda mapenzi yakapungua kumbe alikuwa anatembea na mkuu wake wa kazi. Nilijaribu tena kwenda night kwa baadhi ya siku zingine zilizofata na baadae nilichoka.
Siku moja nikamwita nikamueleza ukweli wote na vithibitisho vya kutosha baadae nikamwambia "kama tulivyopendana kwa wema naomba mapenzi yetu nayo yaishe kwa wema, nilikupenda sana lakini kwa sasa mapenzi yamegonga ukuta. Naomba uendelee na maisha yako nami niendelee na maisha yangu"
Aliniomba msamaha lakini nilishindwa kabisa kumsamehe na nilishukuru kwa kuyatambua yale mapema pengne ningekuja kuyatambua wakati tumeoana ingekuwa ni msalaba mzito zaidi kwangu
GunFire