Ni kweli. Milioni 10, kupata laki 6 kwa mwezi bado siyo akili nzuri. Kuna dili nyingi za kuzungusha hiyo hela, ukapata pakubwa.If u want to succeed go against the norms... Time is money!
Hizi biashara za kuzika pesa kwa miez unakuja kupata faida km hyo ni bora kukaa chini ni kufirikia zingine! Ni maoni tu hata hvyo!
Mkuu sure mimi naenda uza j3
Siku hizi mambo ni rahisi si usalama wa utunzaji, kila kitu kimerahisishwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. Milioni 10, kupata laki 6 kwa mwezi bado siyo akili nzuri. Kuna dili nyingi za kuzungusha hiyo hela, ukapata pakubwa.
Nilitumia milioni 5, nikanenepesha ngombe maeneo hayohayo mara mbili( miezi 6) nikazalisha 7M , mtaji ukafika 12M . Hizo 12M nikahama nikawekeza Mradi wa ng'ombe wa Maziwa. Nimemwachia kijana wangu, anazalisha lita 150- 200 za Maziwa kwa siku!!!! Lita moja anauza 1300- 1500 Tsh.Weka dili mkuu.
Ila nadhani kwa mtu ambaye hana dili kubwa na hajapata bora awekeze huko kuliko kukaa nayo akisubiri dili kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ni uwanja wa kujifunza tunaomba fungukaNi kweli. Milioni 10, kupata laki 6 kwa mwezi bado siyo akili nzuri. Kuna dili nyingi za kuzungusha hiyo hela, ukapata pakubwa.
Mashine za kukoboa/viwanda vimerahisisha Wanakutunzia utakuja kulipia gharama za utunzaji wakati wa kutaka kukoboa na gunia huwa ni 2000 tu...
Kama zipi ziorodheshe apa mkuuNi kweli. Milioni 10, kupata laki 6 kwa mwezi bado siyo akili nzuri. Kuna dili nyingi za kuzungusha hiyo hela, ukapata pakubwa.
Kumbe ng'ombe wa maziwa wako vizuri kwa kuendesha maishaNilitumia milioni 5, nikanenepesha ngombe maeneo hayohayo mara mbili( miezi 6) nikazalisha 7M , mtaji ukafika 12M . Hizo 12M nikahama nikawekeza Mradi wa ng'ombe wa Maziwa. Nimemwachia kijana wangu, anazalisha lita 150- 200 za Maziwa kwa siku!!!! Lita moja anauza 1300- 1500 Tsh.
Mwaka jana mwishoni aliniambia ana mpango wa kuagiza mashine za kuchakata mazao ya maziwa baada ya kununua eneo na kugharamia miundombinu mingine (gharama zote hizo siyo chini ya 30- 40 M).
Asante.
biashara ya kwenye keyboard huwa ni rahisi sana......sasa kwa mfano gharama ya kuyahifadhi ni kiasi gani??tuanzie hapoBiashara ya mazao mfano Mpunga,Nunua Mpunga gunia 180@52000/=Yaani kijijini katika kipindi cha mavuno mwezi wa sita mpaka wa saba bei huwa haizidi 50000 kwa hiyo 52000 namaanisha na usafiri hata mifuko.
Jumla ya gunia hizo ni Tsh. 9360000/=Lakini uwe na Shughuli nyingine ya kukupatia Pesa za matumizi madogomadogo mfano sabuni na pesa za matibabu n.k.Kaa miezi sita au saba tafuta soko uza kwa Tsh. 75000/=tu au ikiwa zaidi Hapo utapata Tsh.
13 500 000/=Hapo utakua umepata faida ya Tsh. 4 100 000/=kwahiyo kwa mwezi utakua umeingiza zaidi ya 600 000/= ambayo hii itakua bila mawazo kama biashara zingine Japo hata biashara zingine na zenyewe zina faida.
Huu ni ushauri wangu Kikubwa Kuomba Mungu akapisha matatizo katika familia na ndugu.Mwenye kuongezea mawazo na ushauri naruhusu. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
ni bure?Siku hizi mambo ni rahisi si usalama wa utunzaji, kila kitu kimerahisishwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nakuomba chembaNilitumia milioni 5, nikanenepesha ngombe maeneo hayohayo mara mbili( miezi 6) nikazalisha 7M , mtaji ukafika 12M . Hizo 12M nikahama nikawekeza Mradi wa ng'ombe wa Maziwa. Nimemwachia kijana wangu, anazalisha lita 150- 200 za Maziwa kwa siku!!!! Lita moja anauza 1300- 1500 Tsh.
Mwaka jana mwishoni aliniambia ana mpango wa kuagiza mashine za kuchakata mazao ya maziwa baada ya kununua eneo na kugharamia miundombinu mingine (gharama zote hizo siyo chini ya 30- 40 M).
Asante.
Mbona ni burebiashara ya kwenye keyboard huwa ni rahisi sana......sasa kwa mfano gharama ya kuyahifadhi ni kiasi gani??tuanzie hapo
Mahindi biashara ya kuchekesha sana... Mwakajana mwez kama huu yalishuka yakauzwa being ya pumba mwaka huu yanepanda yanauzwa bei ya dhahabuHii nibonge ya business mm nakusanya mahind muda wa mavuno kwabei ya 5-8 kwa wakulima ndani ya miez minne bei inaanzia 14 faida asilimia 100, nikichukua gunia 100 kwa wastan wa35 ni 3500000 nkiziuza ni 7000000 hii haina stress Mkuu nakuunga mkono 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya mazao mfano Mpunga,Nunua Mpunga gunia 180@52000/=Yaani kijijini katika kipindi cha mavuno mwezi wa sita mpaka wa saba bei huwa haizidi 50000 kwa hiyo 52000 namaanisha na usafiri hata mifuko.
Jumla ya gunia hizo ni Tsh. 9360000/=Lakini uwe na Shughuli nyingine ya kukupatia Pesa za matumizi madogomadogo mfano sabuni na pesa za matibabu n.k.Kaa miezi sita au saba tafuta soko uza kwa Tsh. 75000/=tu au ikiwa zaidi Hapo utapata Tsh.
13 500 000/=Hapo utakua umepata faida ya Tsh. 4 100 000/=kwahiyo kwa mwezi utakua umeingiza zaidi ya 600 000/= ambayo hii itakua bila mawazo kama biashara zingine Japo hata biashara zingine na zenyewe zina faida.
Huu ni ushauri wangu Kikubwa Kuomba Mungu akapisha matatizo katika familia na ndugu.Mwenye kuongezea mawazo na ushauri naruhusu. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app