Ukiwa na sup na special je unaweza kufanya vyote

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Wadau toka vyuo mbal mbal vyuo vyenu vinaruhusu mtu mwenye sup na special kufanya vyote? maana hapa iaa ni shida hurusiwi inabid uanze na special then til mwaka ujao unafanya sup nkimanisha kwamba unaendelea masomo mwakani ukifanya hizo sup. so mtu unakaa home mwaka mzima kusubiri sup hii sheria sijaipenda
 
MUHAS unafanya vyote bila shida kabisa
 
kwa mfano et, special ni kitu gani?

Special ni exams wanazofanya watu ambao walishindwa kufanya EU wakati inapofanyika kutokana na sababu mbalimbali kama ada.. kuumwa...uzazi nk.... so na wao wanatengenezewa ratiba yao..!!!
 
Special ni exams wanazofanya watu ambao walishindwa kufanya EU wakati inapofanyika kutokana na sababu mbalimbali kama ada.. kuumwa...uzazi nk.... so na wao wanatengenezewa ratiba yao..!!!

last time i checked EU ni Europian Union
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…