umeona eeh!! kuna watu kwanza mshahara wao mwezi mmoja tu ni gharama ya vitz mpya. kwanini asijivutie zake usafiri huku anajipanga zaidi na life.
Wadau, hasa vijana wenzangu,
Ushauri kwa vijana wenzangu. Ukiona wewe kwanza ndiyo umepata kazi, ukaanza kwa kununua gari la kutembelea, baada ya hapo ukanunua kiwanja na ukaanza kujenga ujue wewe utaishia kuwa middle class na kuteseka ki uchumi katika maisha yako yote. Ninaposema kuteseka ki uchumi namaanisha kila ikihitajika laki moja wewe kuitoa mpaka ukope au ukitoa unaishiwa. Vijana wengi wanapenda kuishi maisha ya luxury wakati hawana sifa ya kuwa na luxury, unakuta ndani kwake kajaza vifaa expensive wakati hana rasilimali ya kumpa kipato, wengi wanafanya hivyo ili waonekane wako na maisha safi kwa jamii, kumbe wanajichimbia kaburi
Asilimia kubwa ya middle class walieanza kwa ku invest kwenye mambo yasiyozalisha, mfano nyumba ya kuishi mwenyewe au gari, ukianza, ukianza kwa kujenga nyumba ya kuishi wewe ndio mbaya kabisa. Watu tunaowaita matajiri, walianza kwa ku invest kwenye kitu kinachozalisha pesa then gari la kutembelea, nyumba vikaja baadae. Huo ni ushauri wangu kwa vijana wenzangu
aisee hata mimi niliteseka sana infact i have 3 house but maisha yalikuwa magumu na nilikuwa restless mpk nyumba moja nilipoigeuza lodging house seriously am relaxing do that my friend,rents is hopeless money and stupidity do that goodwish!una nyumba mbili na bado una shida ya kiuchumi. ungekuwa umepanga hali yako ingekuwa mbaya zaidi. waone consultants.
sidhani kama kuna ukweli, maisha ni kujipanga na kupanga ni kuchagua. nyumba na gari nayo ni mahitaji ya msingi sana tu ya kuanza nayo kama hukuwa navyo na haijalishi ununue vya kwanza au vya mwisho, jitihada binafsi ndio muhimu zaidi
Wadau, hasa vijana wenzangu,
Ushauri kwa vijana wenzangu. Ukiona wewe kwanza ndiyo umepata kazi, ukaanza kwa kununua gari la kutembelea, baada ya hapo ukanunua kiwanja na ukaanza kujenga ujue wewe utaishia kuwa middle class na kuteseka ki uchumi katika maisha yako yote. Ninaposema kuteseka ki uchumi namaanisha kila ikihitajika laki moja wewe kuitoa mpaka ukope au ukitoa unaishiwa. Vijana wengi wanapenda kuishi maisha ya luxury wakati hawana sifa ya kuwa na luxury, unakuta ndani kwake kajaza vifaa expensive wakati hana rasilimali ya kumpa kipato, wengi wanafanya hivyo ili waonekane wako na maisha safi kwa jamii, kumbe wanajichimbia kaburi
Asilimia kubwa ya middle class walieanza kwa ku invest kwenye mambo yasiyozalisha, mfano nyumba ya kuishi mwenyewe au gari, ukianza, ukianza kwa kujenga nyumba ya kuishi wewe ndio mbaya kabisa. Watu tunaowaita matajiri, walianza kwa ku invest kwenye kitu kinachozalisha pesa then gari la kutembelea, nyumba vikaja baadae. Huo ni ushauri wangu kwa vijana wenzangu
aisee hata mimi niliteseka sana infact i have 3 house but maisha yalikuwa magumu na nilikuwa restless mpk nyumba moja nilipoigeuza lodging house seriously am relaxing do that my friend,rents is hopeless money and stupidity do that goodwish!
Watu wanataka ku simplify mambo sana na kutupa formula kama maisha ni sawa, wote tuko sawa na tunataka vitu sawa.
Wengine hawataki utajiri wa mali, bali utajiri wa experiences, ikiwa ni pamoja na kutulia sehemu nzuri na familia. Sehemu nzuri hizi zinaisha na kuwa adimu kadiri miaka inavyoenda.
Utamwambiaje mtu asijenge anapoona inafaa na panafaa?
Especially kama anaweza kuuza nyumba muda wowote, na nyumba ni asset inayoweza kutumika kama store of value?
Kuna kaka mmoja namjua, mtu wa mitkas sana. Alifanya mambo yake akapiga hela kubwa. Akajenga Mbezi Beach na kuendelea kuzungusha. Baadaye mambo hayakumuendea vizuri. Kauza nyumba yake a couple hundred million shillings, ka downsize, katumia hela kurudi kwenye biashara.
Pengine asingejenga hata hizo zilizomrudisha kwenye biashara asingekuwa nazo.
Kila mtu anahitaji sehemu ya kukaa. Sehemu kama bongo haijaendelea kimakazi useme renters wana specific advantage over owners. Owners huko hawana tax disadvantage kama zetu baadhi ya owners in the west, to my knowledge.
Kutoa ushauri blanket bila ku acknowledge kwamba at least different people may need different solutions ni irresponsible
watu wanafikiri wote apa tunalipwa laki saba saba....wengine iyo ni airtime ya mwezi mzima!!!atafute helaaa
Nakubaliana na wewe kabisa, hasa kwa kuzingatia jina lako, umeenda dom msimu huu?
umeona eeeh!! naskia huko mbele kumiliki kiwanja tu sio rahisi, sembuse huku tz maeneo kibao yamejaa na waweza lipia hata kwa installements. tena nyumba ni investment nzuri sana maana mambo yakiwa magumu licha ya kuuza unaenda zako kupanga vyumba viwili huku unapokea kodi ya nyumba nzima.Husninyo,
Wanafananisha Bongo na mbele
There some parts in this world can be comfortable kuishi maishi yako yote kwenye apartments sio tz unless umepata zile nyumba za Mchechu kwa bei poa na 'ujanja ujanja' hulipii umeme na maji
Watumie akili kidogo, wanalinganisha sehemu watu wananunua nyumba na tz unajenga. Bunju,Goba,Chanika kwako ni salama kwa watoto kuliko Kino na Sinza kwenye nyumba za kupanga
Husninyo,
Wanafananisha Bongo na mbele
There some parts in this world can be comfortable kuishi maishi yako yote kwenye apartments sio tz unless umepata zile nyumba za Mchechu kwa bei poa na 'ujanja ujanja' hulipii umeme na maji
Watumie akili kidogo, wanalinganisha sehemu watu wananunua nyumba na tz unajenga. Bunju,Goba,Chanika kwako ni salama kwa watoto kuliko Kino na Sinza kwenye nyumba za kupanga
Nilikuwa nasoma article moja last week. Imefanya a "renters vs. owners" comparison, based on North America data if memory serves. Wanasema renters wana advantage in the first four years, baada ya hapo advantage inayeyuka na kuwa disadvantage, unakuwa unalipa kodi kama mortgage tu.
Speaking of mortgages, huyu anayetoa ushauri ana assume kwamba mtu atatoa hela yake mfukoni kujenga. Wakati watu siku hizi wanachukua mortgages.
Na unaweza kuchukua mortgage kujenga nyumba, ukajenga nyumba, ukaonesha stability kwamba unalipa mkopo vizuri na una hati ya umiliki nyumba inayoweza kutumika kama collateral, ukaomba mkopo mkubwa zaidi na kufanya biashara kubwa zaidi.
Nenda kuomba mkopo kwa kutumia a rented apartment/ house apartment kama collateral uone.
Ndiyo maana nikasema ushauri huu tuliopewa unaweza kuwa sawa kwa baadhi ya watu na usiwe sawa kwa baadhi, kutegemea na specific za situation.
Kuna UBAYA gani kuwa MIDDLE CLASS?
Mkuu ur wrong...Nyumba nimuhimu kuliko kitu chochote duniani...Gari sio muhimu sana au wewe unaweza kulala nje?