Ukiwa na vitu hivi halafu upo hivi, Utawamaliza wanawake kwa kweli

Kuhusu wanawake police ni sheeda kwa umalaya nirudi kwako mwenye range kwanza hiyo gari sio yako ndio maana povuuuu pili ungekuwa mmiliki usingebishana na huyo dada muda wote asante
 
Nshomile kaaazi kweli
 
Teh teh teh ! Et unahela!!! Kulipa faini ya shs.30000 inakushinda unawezeje kumpa mtu elf50 ya lunch? By the way acha ulimbukeni
 
Acha majigambo kijana hilo Gari sio lako ni Shemeji yako,,unakaa kwa Shemeji unakula kwa Shemeji unalala kwa Shemeji we unatofauti gani na huyo dada yako aliyeolewa?acha ujinga tafuta pesa kijana.
 
Dogo dogo!!! Anyways ngoja nikupe ushindi maana una confidence ya nyuma ya keyboard. You won Mr Range Owner!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…