Ukiwa na vitu hivi halafu upo hivi, Utawamaliza wanawake kwa kweli

what if am serious?
Acha kujishusha kiboya ..you dont need to beg someone for elfu kumi ..huku jf mbwembwe nyingi mtu anaandika thread yuko juani anatokwa jasho
Hakuna mtu mzima mwenye pesa zake anakuja kwenye social networks kubrag about kua na range rover, na kutakwa na askari polisi mwenye njaa zake..na wewe mwanaume mwenzangu unajishusha kias hicho ili upewe elfu kumi?
 
Aha kwahiyo unafikiri niko serious?
Nimemsoma huyu ndugu tangu last year najua hapa anafake life tu.
Kama ningekuwa na shida kweli ningemfata pm.
It is just a joke.
 
B
Bila shaka wewe ni jirani yake Mseven na Paul Kagame.
 
Boss mimi nina shida na 10000 tu.
0753935975
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona mkuu umeweka na namba kwa msisitizo akikutumia niambie na mm nikamuombe kazi ili niwe na hela na mimi nisizijuwe shida.
 
JF bwana!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona mkuu umeweka na namba kwa msisitizo akikutumia niambie na mm nikamuombe kazi ili niwe na hela na mimi nisizijuwe shida.
Namtania tu Mkuu, watu kama hawa utashangaa ukiambiwa ni mbeba mizigo wa Kariakoo.
Rich men are always cool.
 
Bro mapovu sana punguza munkari jamaa kaelezea tu uhalisia aliouona ili tujichunge ipo siku nawe una push gari kama hiyo mkuu
 
[emoji23][emoji23]
Usikute kakutumia alafu kakwambia usitangaze
ninavyomjua huyu ndugu yetu hata akikutumia jero lazima aje jf kutangaza.
Soma thread zake za nyuma utamuelewa.
 
M nmeishia kusoma uliposema ulikua unasumbua kunywa maziwa na mayai,n itarud kumalizia
 
Mkuu, piga shoo nae tena akiwa amevaa gwanda. Unapandisha tu sketi yake juu.
Nenda pia kwa yule wa pale njia panda ya barack obama na ally hassan mwinyi mida ya jioni, ana zigo haswa alafu hajichubui. Akikuona na gari na swaga lako nae atafall nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…