Ukiwa na vitu hivi halafu upo hivi, Utawamaliza wanawake kwa kweli

siku zote mwenye hela anakula vitamu ila mwenye kuni anakula vilivyoiva
 
Huu ni uhaba wa wanaume.
Sipati kuamini mwanaume unakuja kuanika mambo kama haya kwenye mtandao wa kijamii.
Nonsense.
😂😂why inakuwa problem,wanaume wakipungua si watakupunguzia competition au hata wanaume wote wasipokuwepo still utakuwa na hard time.
 
Hili jitu ni ccm humu jf linajulikana cheki linavyoomba hela mkiambiwa wapenda bribe mnakataa utapumuliwa mkia kenge wewe!
Wenzako wenye akili wameelewa nilichomaanisha, wewe endelea kuchukulia kila jambo serious.
 
Nimependa sana hizi tambo.....nimecheka sana,...this is how men should behave...sio kila saa kulia lia njaa,wakati unaamka saa tano asubuhi,unadhani pesa itajileta[emoji16][emoji16][emoji16]
 
"Hii chai ya leo ina tangawizi kali sana .....mpishi katuweza " ilisikika sauti ya kusikojulikana
 
me ni mwanaume tena kidume but i second you...
 
Shikamoo kaka [emoji23][emoji23]
 
Write your reply... Nipe namba za huyo traffic, hata asiponipenda mimi ataipenda x5 yangu, npe nammba nimlie mingo
 
Picha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…