Ukiwa na vitu hivi halafu upo hivi, Utawamaliza wanawake kwa kweli

Nashida ya ada naomba mchango wako.
 
Shida sana... Mwanaume anaomba omba pesa akibanwa anajidai eti anamjaribu...mijinga sana hii mi CCM ndo inaanzaga hivyo hivyo imeshazoea kuomba omba rushwa.

Hili jitu ni ccm humu jf linajulikana cheki linavyoomba hela mkiambiwa wapenda bribe mnakataa utapumuliwa mkia kenge wewe!
 
Pesa napata kwa njia halali. Sijadhulumu mtu... Acha ni enjoy mkuu. Wale matrafiki nawafahamu wengi wao hawana utulivu. Kanipendea wapi ndo kaniona siku hiyo na anaanza kutaka offer ya chakula?

 
Alionesha ana shida na ndo maana akataka kunipa kosa ambalo sikufanya. Na nlitaka tu ajue kuwa si kila mwanaume ni malaya.

mkuu...unaponda kuwa huwez kudet na wa hvyo mpumbavu..sa hyo efu 50 ulituma ya nini?..
 
Kama angenisimamisha kistaarabu akanambia ana tatizo au kanipenda si shida. Nlichokwazika ni kunibambikia kosa ndo maana nikaeleza yote hayo. Najua naye ni binadamu ana haki ya kupenda na kupendwa but angalia alikoanzia mpaka tukafika hapo... Ndicho kilichonikwaza..

 
Sasa dada si ungepita kimya kimya ukatafute wanaume sehemu nyingine? Maana kama mimi sikufai ni wazi wewe hunifai mara 10000000000000. Katafute wanakopatikana wanaume.

Huu ni uhaba wa wanaume.
Sipati kuamini mwanaume unakuja kuanika mambo kama haya kwenye mtandao wa kijamii.
Nonsense.
 
Mkuu kila kitu lazima kiwe na gia ya kuingilia, kwa akili kama angekusimamisha na kukwambia hivyo si ungemuona chizi, lazima awe na njia ya kuingilia ambayo itaonekana ya kawaida kwa raia kumbuka pale ilikuwa ni road, lakini alipopanda ndani si akasema ana njaa, ulipompa namba si akaanza kukutext dear. Lazima atumie nafasi yake ya kazi kama starting point hapo hamna pa kulaumu hata waalimu, madaktari hufanya vivyohivyo
 
MORAL TO THE STORY: Money is everything, hata kama watu wanasema jamaa anadanganya, I dont care, who does not love to drive a VX, and the likes ?...Maisha ndio haya haya hata mimi ningekuwa napush range nisingemla trafick I would have upgraded my game...OVA..
 
Kwa haya uliyoandika inaonesha wewe si maskini... Maskini wanachukia tajiri anapozungumzia mambo ambayo yanaonesha mafanikio yake. Wanakasirika sana na kutokwa povu



Lakn wenye maisha yenu magumh amewataka radhi mapema maana kumbe jamaa nana experience na roho zenu za kimaskini zilizotamalaki chuki na husuda.
Hongera mkuu. Mm ni maskini ila sina chuki na mwenye nazo
 
Bingwa utagundua JF kuna watu wanachukia sana ukizungumzia mafanikio... Wanatokwa na povu kila sehemu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…