Ukiwa na vitu hivi halafu upo hivi, Utawamaliza wanawake kwa kweli

Kwa haya uliyoandika inaonesha wewe si maskini... Maskini wanachukia tajiri anapozungumzia mambo ambayo yanaonesha mafanikio yake. Wanakasirika sana na kutokwa povu

Mkuu mm ni mtu wa maisha ya kawaida sana. Sema ukijua maisha n nn na kwa nn maua hayakua na rangi moja au harufu ya aina moja utafurahia sana maisha.
Ya nn kumfuatilia au kumchukia mtu kisa maisha yake ?
 
Mkuu nime like tu ila stori yako tamu ila mkuu nipe mbinu za kumiliki magari makali na ofisi kubwa kubwa na mageto raana
 
Bingwa wewe una akili za kizungu. Miafrika mingi inachukia mafanikio au wenye kuonesha mafanikio.

Nimependa sana hizi tambo.....nimecheka sana,...this is how men should behave...sio kila saa kulia lia njaa,wakati unaamka saa tano asubuhi,unadhani pesa itajileta[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Amemchambua vizuri sana huyo askari hadi nimemfahamu vizuri, Ina maana tumejua ameliwa na jamaa huyu mwenzetu aliyetegemea angetunziwa siri yake, na nyie wanawake angalieni watu mnaochagua kuwasstarehesha.
 
Msamehe mkuu hawa niwale walio tairiwa hospital kwasisi tulio ingia msituni huo ujinga ni mwiko
 
Yaani umeniangusha kuliko maelezo hakyanani vile sikutegemea uje unalia lia hivyo
Ingekuwa mie ningemla kwanza kwa show ya kitemi haswa halafu ndo nije jukwaani
Mwanaume wa Dar mnajikwaa wapi mbona siwaelewi ?
 
Huu ndio umama!
Uanaume ungemalizana naye kiroho safi umpe kitu roho yake inapenda, au kama hutaki basi piga kimya, mwache aendelee na maisha yake.
Hiyo ni fursa yake amejaribu kuitumia vizuri, wengine wamepata hata wachumba kwa njia hiyo. Unadhani angetaka tu pesa alishindwa kukutoa rushwa akasubiria gari nyingine? Acha kuumiza hisia za wengine. Wewe mara ngapi umetongoza kindezindezi watu wakakupotezea yakaisha? Au hujawahi kutongoza mtoto wa kishua akakutolea nje? Acha urugaruga.

Kwa kifupi umeaibisha wanaume.
 
Range,Subaru nyuma yangu,
Elf 50 ya lunch, ntakutafuta badaeeee[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mkuu kwani traffic sio mwanamke ana mapungufu gani mbona mnawashusha sana hadhi au mi ndo siwajui vizuri?
 
Mimi nashukuru umetuomba radhi masikini ka mimi kabla ya kuwakilisha mada yako.
 
Mtoa mada amezungumzia ukweli uliopo,ili uwamudu unahitaji resources.kunatofauti kubwa ya anayechimba madini kwa machine na anayetumia jembe.

Ni kweli mkuu lakini resource sio kitu pekee kinachohitajika.Kitu kikubwa ni akili kwa sababu unaweza ukawa na resource lakini bado akili ya kutumia hizo resources ikawa gizani.
Jamaa alikuwa na nafasi ya kuomba alipie hata robo ya mahali aliyokubali kuilipa hii ingesaidia kutunza kiasi cha pesa kilichobaki ili kimsaidie kwenye suala la harusi japokuwa angetakiwa kuongezea lakini somehow asingekuwa kwenye stress kama alizonazo kwa sasa.
 
Sasa dada si ungepita kimya kimya ukatafute wanaume sehemu nyingine? Maana kama mimi sikufai ni wazi wewe hunifai mara 10000000000000. Katafute wanakopatikana wanaume.

🤣🤣🤣
Nitake radhi mkuu mimi sio mdada na kama nimekera I’m so sorry.
Nilikuwa najaribu kukushauri mkuu ni vema kufikiria kitu unachotaka kupost kabla hujapost uhuru usikupe uchizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…