Ukiwa ni mshabiki wa hivi vitu vitatu unajisikiaje? (Yanga, Chadema. Ufufuo na Uzima)

Bonny

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
13,370
Reaction score
29,968
Kutokana Phase two list ya mheshimwa wa mji
Nimekaa nmewaza tu hapa na hii njaa yangu ya mchana huu kama wewe ni mshabiki kindaki ndaki wa Chadema, Team yako ni Dar Young African na Kanisa lako ni la Ufufuo na uzima sa hvi kichwa chako kinawaza nin kwa pamoja sa hvi.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mbona poa tu.....mbona moize katumbi walimkikimisha lakini vijana wake TP mazembe walichukua NDOO ya shirikisho.....tuje kwa Gwajima naye ni sawa na yule wa WATASHINDANAAAAAA issue ilibamba lakini mpaka Leo kanisa ni nyomi.......mzee wa BILLS naye ni suala la muda tu....usiogope
 
Asante kwa kudadavua mkuu acha nikale kwanza labda ilikua njaa tu
 
Kutaja ni swala jengine na kuthibitisha ni swala jengine!!
 
Kutaja ni swala jengine na kuthibitisha ni swala jengine!!
Ndio maana nmeishia kwenye kutaja hayo ya kuthibitishwa ni kaz ya watu wengne
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

*Kufuatia Kutajwa kwa Mdhamini Wa Club ya Yanga Fc Ndugu Yusuph Manji Katika Orodha ya Washukiwa Wa Madawa ya Kulevya Idara Ya Polisi Wakishirikiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul C Makonda Imewataka Mashabiki wote Wa Club Ya Yanga Waripoti Kituo Cha Polisi siku ya Ijumaa Kwa Mahojiano Zaidi*

[emoji23][emoji23][emoji23] Yanga a.k.a Ngada Fc
Jaman mimi Simba damu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 

Wakikusikia wenyewe watakuja moto sana humu
 
Hili movie wacha ninunue karanga niendelee Kyla flavour ingawa Bahia haina mwisho mzur wanajaribu kuwagusa untouchable n swala la Muda tu let's wait
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…