simba songea
JF-Expert Member
- Feb 8, 2016
- 1,498
- 1,216
wewe jamaa umenivunja mbavu zangu..Zuga unapokea simu, nakuja nakuja unavaa viatu unaaga kwa kupungia mkono imetoka hiyo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Zuga unapokea simu, nakuja nakuja unavaa viatu unaaga kwa kupungia mkono imetoka hiyo
HahahaaaaaaZuga unapokea simu, nakuja nakuja unavaa viatu unaaga kwa kupungia mkono imetoka hiyo
kali hiyo mkuu raimundoSisi tuna msema wa "Ntawusonzela ha hagiye", ukimaliza kula tu ondoka, maana itakuwa fedheha kama njaa nyingine itakukuta hapo.