Ukiwa unapita nje ya Duka la Dawa ukiona limeandikwa Duka la Dawa baridi huwa akili inafikiria nini?

Ukiwa unapita nje ya Duka la Dawa ukiona limeandikwa Duka la Dawa baridi huwa akili inafikiria nini?

Kiukweli dawa zinatakiwa zitunzwe katika Hali ya ubaridi kidogo,2 to 8 centgrade ila ndo hivyo tena

California love

Acha kupotosha, dawa nyingi zinafaa kutunzwa kwenye jotoridi la chumbani[emoji12] (room temperature, 20*C)

Isipokuwa chache tu ambazo zinahitaji below that, ni chache tu.

~Avoid hangovers, stay drunk!
 
Mbona sijawahi ona friji za hizo dawa au kwa sababu wengine hawana uwezo wanazipanga tu
 
Habari Wakuu Heri ya jumapili!

Mimi kwangu kwa akili yangu najua ni zipo kwenye friji 🤦😂😂 lakini nikiingia napewa za moto, najua kabisa lakini nafanya kusudi,

Karibu tuichangamshe jumapili
Uwa akili!?!?!? Ni shida, eti kiswahili ni lugha yetu huku tuliingia mitini kwenda Afrika Kusini kufundisha kiswahili, Uwa akili.
 
Acha kupotosha, dawa nyingi zinafaa kutunzwa kwenye jotoridi la chumbani[emoji12] (room temperature, 20*C)

Isipokuwa chache tu ambazo zinahitaji below that, ni chache tu.

~Avoid hangovers, stay drunk!
Heee sylabus ya mwaka gan hii imebadilisha normal reading ya room temperature kuwa 20°c

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Acha kupotosha, dawa nyingi zinafaa kutunzwa kwenye jotoridi la chumbani[emoji12] (room temperature, 20*C)

Isipokuwa chache tu ambazo zinahitaji below that, ni chache tu.

~Avoid hangovers, stay drunk!
Asante sana na kunisahihisha,Mimi nilimaanisha reagents na chanjo

California love
 
Lugha tu nimejikuta nimeshachapisha kurekebisha mpaka heading nimeshindwa
Okay, nikirudi kwenye swali lako: "Duka la Dawa Baridi", ni kwamba: siku hizi yamefanyika maboresho, badala ya kuandika 'duka la dawa baridi' wanaita 'duka la dawa muhimu (medical store)'. Kanuni za Maduka ya Dawa Muhimu (DLDM) zinafuatia uamuzi wa serikali kuboresha upatikanaji wa dawa na huduma zitolewazo katika Maduka ya Dawa Baridi kwa kuyapandisha hadhi kuwa Maduka ya Dawa Muhimu

Duka la dawa muhimu huuza dawa zile ambazo hazina ulazima wa andiko la daktari, lakini Duka la Dawa Moto (Pharmacy) huuza dawa zote ikiwa ni pamoja na zile zinazohitaji idhini ya daktari (dawa moto)...
 
...Kwa Ufupi Dawa Baridi ni dawa Maalumu kwaajili ya Binadamu,,
Na kuna dawa za mifugo na Mimea pia hapa naongezea Maduka hayo ya madawa...
Vilevile haya maduka ya dawa baridi yapo madawa ambayo Muda wote yanatakiwa yahifadhiwe kwenye Friji mfano chanjo na n.k...
 
...Kwa Ufupi Dawa Baridi ni dawa Maalumu kwaajili ya Binadamu,,
Na kuna dawa za mifugo na Mimea pia hapa naongezea Maduka hayo ya madawa...
Vilevile haya maduka ya dawa baridi yapo madawa ambayo Muda wote yanatakiwa yahifadhiwe kwenye Friji mfano chanjo na n.k...
Siyo kweli. Duka la Dawa Baridi au Medical Store kwa Kiingereza (siku hizi wanaita Duka la Dawa Muhimu) huuza dawa zile ambazo hazina ulazima wa andiko la daktari, kinyume chake kuna Duka la Dawa Moto (Pharmacy) huuza dawa zote ikiwa ni pamoja na zile zinazohitaji idhini ya daktari (dawa moto).

Halafu tuweni wakweli, hivi ushawahi kuona chanjo zikiuzwa kwenye maduka ya dawa? Chanjo hutolewa bure, kwenye hospitali na vituo vya afya tu...
 
Napenda kuuliza huvi, kwanini maduka ya dawa za binadamu yanaitwa maduka ya dawa BARIDI? Hiyo baridi imekaaje hapo? Kwani kuna mengine madawa joto au Moto?

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom