johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ukiondoa story za vijiweni na uzushi mwingi kumhusu alhaj Kighoma Malima RIP binafsi nilimkubali sana yule Prof kwa kunena na kutenda Kwake.
Wakati akiwa Waziri wa Fedha nilikuwa nafuatilia jambo langu fulani ofisini kwa Mkurugenzi wa Utumishi Mr Mdidi ghafla waziri akaingia na kuongea kidogo na Mkurugenzi kisha akasema" Bwana Mdidi Waziri wa Fedha hatakiwi kuyumba yumba kwani atajikuta anayumbishwa sana na Wote humu mtayumba"
Hii sentensi iliongewa miaka zaidi ya 30 iliyopita lakini nimeikumbuka leo wakati nafuatilia bunge.
Mungu wa mbinguni atubariki!
Wakati akiwa Waziri wa Fedha nilikuwa nafuatilia jambo langu fulani ofisini kwa Mkurugenzi wa Utumishi Mr Mdidi ghafla waziri akaingia na kuongea kidogo na Mkurugenzi kisha akasema" Bwana Mdidi Waziri wa Fedha hatakiwi kuyumba yumba kwani atajikuta anayumbishwa sana na Wote humu mtayumba"
Hii sentensi iliongewa miaka zaidi ya 30 iliyopita lakini nimeikumbuka leo wakati nafuatilia bunge.
Mungu wa mbinguni atubariki!